Kuachwa kuachwaaa kuachwa ni SHUGHULI PEVUUUU...mbaya zaidi kwa yule ulompenda wewe una...........basi malizia kawimbo......
Mhhh me nishaacha 2,nkaachwa 2..ngoma draw..
1.alisema LIFE IS A GIGANTIC BOOK with many pages,explore it...uuh nlichoka...
2.Moyo unaniuma,japo nishamuomba msamaha,we r in good terms kiasi chake,nlimwambia 'am js not happy anymore'...skujua km ananpenda hadi after brkup dah,dunia hadaa...
3..hehehhehe KISANGAA,BAD NEWSS..alisepa kimya kimya af alikuwa handsome ajeee ka Van vicker,full intro kwa rafiki zangu,nlidata,KIDOGO LAKINI,am over t now..
4.na me nliishia zangu silently,kaja kunkuta tu sehemu na 'Toleo jipya' akawa speechless mana matunzo zero af alijiona siwezi muacha,....
Uhhh,i hope the next guy is my hubby mana mhh,mambo ya what's ur number siyataki mie
Kuachwa kuachwaaa kuachwa ni SHUGHULI PEVUUUU...mbaya zaidi kwa yule ulompenda wewe una...........basi malizia kawimbo......
Mhhh me nishaacha 2,nkaachwa 2..ngoma draw..
1.alisema LIFE IS A GIGANTIC BOOK with many pages,explore it...uuh nlichoka...
2.Moyo unaniuma,japo nishamuomba msamaha,we r in good terms kiasi chake,nlimwambia 'am js not happy anymore'...skujua km ananpenda hadi after brkup dah,dunia hadaa...
3..hehehhehe KISANGAA,BAD NEWSS..alisepa kimya kimya af alikuwa handsome ajeee ka Van vicker,full intro kwa rafiki zangu,nlidata,KIDOGO LAKINI,am over t now..
4.na me nliishia zangu silently,kaja kunkuta tu sehemu na 'Toleo jipya' akawa speechless mana matunzo zero af alijiona siwezi muacha,....
Uhhh,i hope the next guy is my hubby mana mhh,mambo ya what's ur number siyataki mie
Acha kutudanganya, michango yako humu MMU inaonekana tu tayari ushagegedwa mata mara 100,000.
I'm your next Hubby
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
kwahyo ni bikra?! Usijali npo mm
Life is a gigantic book explore it?
Duhh!
Yeye ndio author wa hiko kitabu ama?
kwani kugegedwa na kuwa na mpenzi ni kitu kimoja?
Mimi sijawahi kuachwa,na kama ikitokea nkaachwa basi nitaomba msamaha kwa nguvu zangu zote,msamaha ukikubalika basi kinachofata namwacha baada ya siku tatu hivi.
Utagegedwaje bila mpensi labda uwe unauza k,
ndo hivo sina mpensi wala msuruali
we ni mkurya?
ndo hivo sina mpensi wala msuruali
we ni mkurya?
mm siachagi bali naachwa sababu nafumaniwa
Nilifanya uchunguzi wangu nikajua amempa mwanamke mwingine mimba,
Nilipo muuliza alikataa,mwishowe akaja kunifahamisha kuwa he's getting married and he's so sorry about everything!