Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Kwani mwanafunz karuhusiwa kumpiga mwalimu ngumi? Ukitaka kutetea jambo kwanza,lichukulie ktk upande wako..


mwanafunzi gani kampiga mwalimu ngumi..? njoo na video au picha sio maneno matupu sawa then ongea facts sawa
 
Natafuta maticha kama hawa nina mpango wa kufungua shule ya watoto watukutu...kule huwa hatupigi hivyo tuna adhibu effectively... tena wazazi wenyewe watafurahi.. tunakaribisha wanafunzi wa international na wale wa medium pia
 
kama kweli ww ni mwalimu kaombe huku chuon ulikosoma wakurudishi ada yako
 
We unadhani yaliyorekodiwa ndo yaliyotokea tu? Ndo maana una haha!!

najua kuna yaliyo tokea ila yameonekana yale sasa pale hata kesi dogo anashinda na ndiyo mtu yeyote mwenye akili zake atakapo anza ku judge huko nyuma hatuna evidence yoyote kama mwalimu alipigwa ngumi au la ni maneno matupu ila hapo mwanafunzi anapigwa na video ipo mkuu bado unataka kubishana..?
 
Wachache wenye huu uelewa wako. Wanafikiri its easy just like that.
Unajua watu hawajatambua kitu mpaka sasa ufanisi na bidii maofisini ni zero yote haya ni msingi mbovu unaojengwa mashulen kutoka na kuingiza siasa ..
Mzazi bila aibu unatoa Mapovu kisa Mtoto wako kapigwa na mwlm ..

Utakuta toto darasan zero kabisa kazi kiangalia porn tu mwlm akijaribu kumkanya mzazi anakuja juu. Shenzy kabisa ..
Mm nakumbuka nimewahi kufungwa mikono na Mwlm wangu nilipigwa fimbo zaidi ya 25 na sikujaribu hata kumwambia baba kwasababu najua ningemwambia ningekula shambork zaidi ya hyo ..

Ningekuwa mwlm mm ningekuwa jela tayar kutokana na maadili ya watoto wa siku hizi nisingekubali mzazi mjingamjinga unanijia juu ningezaa naye
 
Halafu naomba niongee jambo moja ambalo naona ndilo mnaona chanzo cha yote.
Unajua bwana sisi ni binadamu kama ninyi, nasi pia tuna mapungufu yetu.

Hivi, mnataka tuwe na mioyo gani ya kuvumilia kejeli hizi mnanzozitoa juu yetu?
Mnadhani tuna mioyo ya chuma au ya mbao?
Mlianza kuongea pumba, tukiwajibu kipumba....ohhh walimu gani hawana maadili!!
Kwahiyo mnachotaka mkiongea pumba, tuwajibu ki-Sista Maria kisa sie walimu?
Hakuna hiyo na wala haitotokea.
Ukija kistaarabu, utajibiwa kistaarabu ila ukija kishari na kinoko, tegemea ushari na unoko.

Mzazi wangu wakati ananilipia ada, wewe ulichagua fani ingine akulipie, iweje leo fani yangu uione ina walakini?
Samahanini, tena ukute wengine nawaheshimu humu, ila ndo heshima itashuka sasa hivi, tumekutana Jf, na tuachane Jf.
Mengine huwa wala hayawahusu na hayawadoboi hata.

Usitegemee toto lako tukutu ambalo umelishindwa nyumbani kwako, likija shule litabadilika haraka, kuna stage za ukuaji wa kiakili na kimwili.
Ila kama limerithi laana zako za ukoo wenu, hata umpeleke akasome IST hatabadilika.

Naomba tusipangiane cha kufanya.
Kama unaona kazi yako ya maana kuliko yangu, anzisha uzi wako wenzako waje kukuchangia.
Nawaambia, mtu aje nimpe viatu vyangu avae hata siku 3 tu, kama hujanirudishia mwenyewe.

Kila kazi na changamoto zake.
Eti "uwe na adabu wakati wa kuongea", nyooooo!!! Wewe kama nani unanipangia?
Unajua nimenunua bando la sh ngapi kuingia humu?
Hata siku moja ushawahi kunirushia vocha hasidi wewe!
Piteni kushoto, wajing.a nyie.
Maisha yangu, kazi yangu na mshahara wangu.
Kwahiyo kaka, dada.....sugua gaga uende kanisani au msikitini mkaswali.

Msitake kujua tulikuwa tunafanya shughuli gani kabla hatujaingia kwenye ualimu.
Mlidhani tulilala tu na kuamka then tukajikuta tuko na kazi hii?
Tumepitia vyuoni kama wewe ulivyopitia.
Tumesomea maadlili na utu, Ila mkileta shombo, mtalinawa tu.
Mxyiuuuuuuu.....!!!!!
Du naomba nikiepuke kikombe hiki.....
 
Hii mikopo ya kununua smartphone kwa wanafunzi kwa ajili ya porn video na matukio ya kijinga yametufikisha hapa. Msinihukumu Mimi kilaza napita tu kwenye huu uzi.
 
Aaaah jirani, usiniambie nawe umewahi kuwa mwalimu, ukakimbia ukatuachia msala wenyewe!!
yeah jirani nilikuwa mwalimu, miliweka malengo yakufundisha isizidi miaka 6, kabla sijatoka, na nilitimiza miaka 4 nikiunganisha, miaka 2 ndio nilikuwa full time teacher iliyobakia nimekaa mwezi au siku kadhaa...
lakini hadi sasa nafundisha lakini kimtindo mwingine
 
Back
Top Bottom