mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,626
We kipaji chako umbea, kapige tu umbea kule, huku umepotea njia mama.
Haya weeeeee
Eeeeeh kote nipo uwanja wangu
We kipaji chako umbea, kapige tu umbea kule, huku umepotea njia mama.
Kwani mwanafunz karuhusiwa kumpiga mwalimu ngumi? Ukitaka kutetea jambo kwanza,lichukulie ktk upande wako..
We unapaweza celebrities kwa kina diamond na kiba tu huku sio kwako mama tukutane kwenye thread ya diamondEeeeh ngoja na mamboz kiteknolojia za kuwanasa walimu wavivu ziingie kutumika...kitaeleweka tu.
We unadhani yaliyorekodiwa ndo yaliyotokea tu? Ndo maana una haha!!mwanafunzi gani kampiga mwalimu ngumi..? njoo na video au picha sio maneno matupu sawa then ongea facts sawa
We unadhani yaliyorekodiwa ndo yaliyotokea tu? Ndo maana una haha!!
Unajua watu hawajatambua kitu mpaka sasa ufanisi na bidii maofisini ni zero yote haya ni msingi mbovu unaojengwa mashulen kutoka na kuingiza siasa ..Wachache wenye huu uelewa wako. Wanafikiri its easy just like that.
Du naomba nikiepuke kikombe hiki.....Halafu naomba niongee jambo moja ambalo naona ndilo mnaona chanzo cha yote.
Unajua bwana sisi ni binadamu kama ninyi, nasi pia tuna mapungufu yetu.
Hivi, mnataka tuwe na mioyo gani ya kuvumilia kejeli hizi mnanzozitoa juu yetu?
Mnadhani tuna mioyo ya chuma au ya mbao?
Mlianza kuongea pumba, tukiwajibu kipumba....ohhh walimu gani hawana maadili!!
Kwahiyo mnachotaka mkiongea pumba, tuwajibu ki-Sista Maria kisa sie walimu?
Hakuna hiyo na wala haitotokea.
Ukija kistaarabu, utajibiwa kistaarabu ila ukija kishari na kinoko, tegemea ushari na unoko.
Mzazi wangu wakati ananilipia ada, wewe ulichagua fani ingine akulipie, iweje leo fani yangu uione ina walakini?
Samahanini, tena ukute wengine nawaheshimu humu, ila ndo heshima itashuka sasa hivi, tumekutana Jf, na tuachane Jf.
Mengine huwa wala hayawahusu na hayawadoboi hata.
Usitegemee toto lako tukutu ambalo umelishindwa nyumbani kwako, likija shule litabadilika haraka, kuna stage za ukuaji wa kiakili na kimwili.
Ila kama limerithi laana zako za ukoo wenu, hata umpeleke akasome IST hatabadilika.
Naomba tusipangiane cha kufanya.
Kama unaona kazi yako ya maana kuliko yangu, anzisha uzi wako wenzako waje kukuchangia.
Nawaambia, mtu aje nimpe viatu vyangu avae hata siku 3 tu, kama hujanirudishia mwenyewe.
Kila kazi na changamoto zake.
Eti "uwe na adabu wakati wa kuongea", nyooooo!!! Wewe kama nani unanipangia?
Unajua nimenunua bando la sh ngapi kuingia humu?
Hata siku moja ushawahi kunirushia vocha hasidi wewe!
Piteni kushoto, wajing.a nyie.
Maisha yangu, kazi yangu na mshahara wangu.
Kwahiyo kaka, dada.....sugua gaga uende kanisani au msikitini mkaswali.
Msitake kujua tulikuwa tunafanya shughuli gani kabla hatujaingia kwenye ualimu.
Mlidhani tulilala tu na kuamka then tukajikuta tuko na kazi hii?
Tumepitia vyuoni kama wewe ulivyopitia.
Tumesomea maadlili na utu, Ila mkileta shombo, mtalinawa tu.
Mxyiuuuuuuu.....!!!!!
Nahisi wewe ni MWALIMU Wa upeInategemeana na mazingira ya ukaidi na misbeheve ya huyo mtoto ! na wewe badilika buanaaa...
HahahhaDu naomba nikiepuke kikombe hiki.....
yeah jirani nilikuwa mwalimu, miliweka malengo yakufundisha isizidi miaka 6, kabla sijatoka, na nilitimiza miaka 4 nikiunganisha, miaka 2 ndio nilikuwa full time teacher iliyobakia nimekaa mwezi au siku kadhaa...Aaaah jirani, usiniambie nawe umewahi kuwa mwalimu, ukakimbia ukatuachia msala wenyewe!!