Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Kwani kushinda jf inahusu nini???
We ni nani hadi upangie wapi nini cha kufanya, umejiendeleza hadi elimu gani hapo ulipo?

Hakuna la kubisha, walimu wengi wasio penda kazi yao hawakosi kuwa na simu juu ya meza zao darasani na inawachukulia muda...badala ya kuwaza kuendeleza wanafunzi vyema wao akili sinuni meseji, udaku, jf kuna nini leo...

Hii kitu sio ya kubisha

Itabidi walimu wa wakuu wa shule haswa za setikali waanze kupewa uelekezi wa walimu kutotumia simu wakiwa katika kipindi na hata kutotumia hadi masaa ya shule yakiisha au hakuna kulipwa mshahara. Kama wanataka basi watumie wakienda breki tu..na kama kuna dharula badi shule iwe na namva ya wao kupatikana wanapohitajika na ndugu na jamaa...na itaeleweka.

Ni wakati wa mabadiliko sasa.
 
Heheheeeeee kituko cha mwaka, usinipangie nini na wakati gani niandike unayotaka kuyasoma.

Yaandike wewe usomwe...pita huko..

Unahasira na maisha yako wewe kuanza kuniandikia upupwu wote huo mie tu.

Haya uliyesoma wewe hongera jipigie vigelegele.
Sasa wewe hutaki kupangiwa cha kuandika mbona unapanga walimu wasishinde jf utadhani jf ni yako
 
na we usijekuwa kama johnson meki na english yake ya have been !
show us what you got , sio zitto kutoa mawazo yake ndo unaafiki 100% ! na bado unajiita msomi!!

Uwe unachalenji mama ,hata kama msemaji ni Morgan Freeman.

Tanzania tuna safari ndefu sana! Hasa sisi tunaojiita wasomi.
We hebu mtake radhi huyo dada, unataka atuonyeshe alichonacho!! Hebu fuatilia tu comment zake utagundua ni jinsi gani walimu tuna mizigo.
 
Hakuna la kubisha, walimu wengi wasio penda kazi yao hawakosi kuwa na simu juu ya meza zao darasani na inawachukulia muda...badala ya kuwaza kuendeleza wanafunzi vyema wao akili sinuni meseji, udaku, jf kuna nini leo...

Hii kitu sio ya kubisha

Itabidi walimu wa wakuu wa shule haswa za setikali waanze kupewa uelekezi wa walimu kutotumia simu wakiwa katika kipindi na hata kutotumia hadi masaa ya shule yakiisha au hakuna kulipwa mshahara. Kama wanataka basi watumie wakienda breki tu..na kama kuna dharula badi shule iwe na namva ya wao kupatikana wanapohitajika na ndugu na jamaa...na itaeleweka.

Ni wakati wa mabadiliko sasa.
Hayo mabadiliko anza nayo wewe kwa kuanza kujifunza kuandika.....
Hujui chochote kuhusu ualimu we kaa celebrities forum tudiscuss mambo ya kina diamond na kiba basi
 
Mzazi tu unaandika xana imagine mtoto wako atakuaje

Eeeeh, mtoto anahusikaje hapa

Aaaagh ndio tabu ya kutokujua vipaji vilivyopo kwa binadamu....eti unacheka kuandika

Wengine kuandika kunawaletea mpunga mrefu...kituko duh
 
Hakuna la kubisha, walimu wengi wasio penda kazi yao hawakosi kuwa na simu juu ya meza zao darasani na inawachukulia muda...badala ya kuwaza kuendeleza wanafunzi vyema wao akili sinuni meseji, udaku, jf kuna nini leo...

Hii kitu sio ya kubisha

Itabidi walimu wa wakuu wa shule haswa za setikali waanze kupewa uelekezi wa walimu kutotumia simu wakiwa katika kipindi na hata kutotumia hadi masaa ya shule yakiisha au hakuna kulipwa mshahara. Kama wanataka basi watumie wakienda breki tu..na kama kuna dharula badi shule iwe na namva ya wao kupatikana wanapohitajika na ndugu na jamaa...na itaeleweka.

Ni wakati wa mabadiliko sasa.
Unaonekana huna kazi basi gubu la kiswahili limekukaa!!
ulivyosema walimu hawajui kiingereza nikajua we unajua ! sasa wewe binti na vijiwe vya kahawa wapi na wapi !!
 
Katika watu ambao hawajuagi kuandika humu lady YOU ARE AMONG na ni kiswahili tu kinakupiga chenga, hizo lugha za kigeni unazojua wewe ni zipi?
Hiyo comment yake niliishia kumhurumia tu maana kumuelewa huyu mtoto aandikacho, inahitajika uwe mwalimu.
 
Hayo mabadiliko anza nayo wewe kwa kuanza kujifunza kuandika.....
Hujui chochote kuhusu ualimu we kaa celebrities forum tudiscuss mambo ya kina diamond na kiba basi
Hahahaaaa!! Akitaka kuzurura apitie na jukwaa la udaku, huku kwakweli anajionea tu, kuzito hakumhusu hata kidogo.
 
kwa hiyo we uko FEZA
Mie sio mwalimu bana. Ila ukinipa chaki naweza kusimama pale ubaoni. Si unajua tena siku hizi ualimu kila m2 anaweza. Aliyesoma engineering, mazingira, au hata aliyemaliza F.6 utamkuta kapelekwa ualimu. Wao wanadai wanaziba pengo la uhaba wa waalimu. Sasa haya ndo matokeo yake ya kuparamia watoto kwa mangumi na mateke.
 
Eeeeh, mtoto anahusikaje hapa

Aaaagh ndio tabu ya kutokujua vipaji vilivyopo kwa binadamu....eti unacheka kuandika

Wengine kuandika kunawaletea mpunga mrefu...kituko duh
We kipaji chako umbea, kapige tu umbea kule, huku umepotea njia mama.
 
Back
Top Bottom