Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Kwa asiyepitia au kujua kinachotendeka mashuleni, atachukulia simple tu, Ila jamani tunakutana na changamoto za kila aina.
Za aibu, za kufurahisha, za kuhuzunisha yaani ilimradi tu.

Nakumbuka nilipata kesi ya mwanafunzi wa kidato cha 3 aliyeachiwa nyumba na mama yake mzazi, baada ya mama kuhisi ati huyo mwanae wa kike anatembea na baba yake.
Mama alihama kabisa nyumba.
Ilikuwa kazi kumrudisha, ila kwa weledi tuliokuwa nao, tulifanikiwa.

Hivo hawa wanaobeza beza humu, nawaangalia kwa dharau tu mkuu.
Kumbe Madame B ni mwalimu?!!!
Yaani nikikumbuka vituko vyako jukwaa la wakubwa na jinsi kazi yako ilivyo ya nidhamu na heshima

Mm nilikuwanachukulia kama mwanamke flani aliyeshindikana na Kokop kweli ...
Aisee kweli usiamini kila unaloliona jf
 
Kumbe Madame B ni mwalimu?!!!
Yaani nikikumbuka vituko vyako jukwaa la wakubwa na jinsi kazi yako ilivyo ya nidhamu na heshima

Mm nilikuwanachukulia kama mwanamke flani aliyeshindikana na Kokop kweli ...
Aisee kweli usiamini kila unaloliona jf
 
Oooh walimu sijui wana matatizo kisa walifeli sijui nini hivi kuna sekta nchi hii haina matatizo? Madaktari wangapi wanaua wagonjwa kwa uzembe? Mara huyu kapasuliwa kichwa badala ya mguu, haujakaa sawa mgonjwa kapelekwa mochwari akiwa hai nk nk. Mainjinia ndio majengo yanatudondokea kila siku, barabara za lami zinaota mimea katikakti ya lami, mikataba ya ovyo ovyo inasainiwa na wanaojiita wanasheria, nk nk nk nk!! Si ndio hawakufeli hao!!!

Wasijifanye wajuaji, kwanza tunajitolea sanaaaa maana kwanza kazi haifanani na maslahi alafu bado mtu anajitia uduwanzi!! Kawe mwalimu nawewe kama inadhani rahisi hivyo.
Mkuu wala Usichanganyikiwe na maneno ya humu ukichunguza wote wanaokebehi ajira za watu ndio wale hohehahe .. Wengi wao wanalala kwa mashemeji zao hawana mbele wala nyuma ..

Ww huoni kila siku watu humu wanalialia maisha magumu Mara sukari ipo juu Mara mchele .. Tatzo wakiwa nyuma ya vitecno ndio wanajifanya wameyapatia lakn kumbe wapiga debe
 
Kuna rafiki yangu yeye linambia mtoto mtukutu shuleni wazazi huwa wanamtetea, alipofika darasa la saba akawa hautaki hata kwenda shule, wazazi kwa kuiogopa serikali kule vijijini huwa mtoto akikataa kuja shule huwa wanaanza na mzazi, sasa mzazi anakwenda kumsemea mtoto wake kwa mwalimu mkuu, eti mwanangu kachana kaptula hataki kuja shule, hivi mimi kama ni mwl. naanza kumchapa na huyu mzazi kama ninammudu kama si mmudu ningemtimua kama kicheche ila kwa busara walimu walimkalisha na kumsaidia Yule mzazi na mtoto akamaliza shule, ila wakampa dongo kaburi ulilochimba uanza kuingia mchimbaji. Poleni walimu, Hivi mkulu halikuwa hawachapi hawa wahuni wa shule?
Mkulu alichapwa na alichapa ndio maana alishangaa viboko kufutwa shuleni.

Its obvious wazazi kutetea watoto watukutu na kusema wanaonewa ila bahati nzuri huwa hawafiki mbali kabla hawajawaumbua. Kuna binti alitajwa na wanafunzi wenzie kuwa ana simu,tulipomuhoji akakataa kata kata kuwa anasingiziwa yeye hana simu, kuitwa mama yake weeeeh!! Alituchamba walimu, haikupita 5months binti akawa ni mjamzito, mama yake akaitwa kuambiwa akaanza kulia, tukamuuliza binti vipi kuhusu simu bado unakana? Akajibu tu ni kweli ninayo. Mama macho yakamtoka, tukamwambia mchukue mwanao mkaanze clinic.
 
Mkulu alichapwa na alichapa ndio maana alishangaa viboko kufutwa shuleni.

Its obvious wazazi kutetea watoto watukutu na kusema wanaonewa ila bahati nzuri huwa hawafiki mbali kabla hawajawaumbua. Kuna binti alitajwa na wanafunzi wenzie kuwa ana simu,tulipomuhoji akakataa kata kata kuwa anasingiziwa yeye hana simu, kuitwa mama yake weeeeh!! Alituchamba walimu, haikupita 5months binti akawa ni mjamzito, mama yake akaitwa kuambiwa akaanza kulia, tukamuuliza binti vipi kuhusu simu bado unakana? Akajibu tu ni kweli ninayo. Mama macho yakamtoka, tukamwambia mchukue mwanao mkaanze clinic.
Nimependa chukua mwanao mkaanze clinic, hampendagi ujinga
 
Si ukubali tu nimekushinda !! na kiingereza chako cha kukariri !!!
say whaat? we hukufaa kuwa mwalimu. ulifaa uwe unakodishwa kwenye vikodoro kusuta watu. hahahahahha. eti mwalimu. what a shame!
 
Mkuu wala Usichanganyikiwe na maneno ya humu ukichunguza wote wanaokebehi ajira za watu ndio wale hohehahe .. Wengi wao wanalala kwa mashemeji zao hawana mbele wala nyuma ..

Ww huoni kila siku watu humu wanalialia maisha magumu Mara sukari ipo juu Mara mchele .. Tatzo wakiwa nyuma ya vitecno ndio wanajifanya wameyapatia lakn kumbe wapiga debe
Hizi ni kelele tu za vyura hazimzuii ng'ombe kunywa maji, maana hizi dharau tunaziona hadi kwa ambao hata shule hawajakwenda, nami huwa naishia tu kuwadharau as long as sibishi hodi kwao kuomba unga.

So kazi kama kawa, na minyoosho lazima iendelee.
 
N
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
nimekubali harakati Kua mwalimu Ni kazi Sana Na watoto wa siku hizi wanatia vidole machoni usipokua makini
 
say whaat? we hukufaa kuwa mwalimu. ulifaa uwe unakodishwa kwenye vikodoro kusuta watu. hahahahahha. eti mwalimu. what a shame!
we binti usinipotezee muda umeanza mipasho tena!! mi ni mwanaume we saiz yako mzurimie sio mimi !! kuwa nesi ndo unahisi umemaliza au umesahau ulishawahi kuni-PM
 
nilikuwa sitaniwi na mtoto, na wala sikuwa na ukaribu nao, wakisikia nipo kila mtu anashika adabu....! miaka hiyo hadi Afisa elimu wa mkoa alikuwa ananijua....!
 
Leo suala la walimu kila mtu kageuka msemaji na mwanasaikolojia!! Chaaaah! Waje watumie hizo saikolojia zao basi, au wangeanza kuzitumia kwa watoto wao.
Mbona kuna watoto wanamaliza shule hajawahi hataaa kuguswa, yaani kuna watoto hadi unatamani angekuwa wako, ila hiyo mingine hata kwa nyongeza hapana.
Nakwambia, kila mtu kageuka msemaji wa Serikali.
Nyooooko zao, mbona yao wameyafumbata kifuani, si wayaache wazi tuyaone!!

Yaani wajinga wajinga na wapumbavu kama hawa hapa, mie wala hawanipi presha, maadam nikifika mwisho wa mwezi naenda kutekenya mashine, waongeee mpaka wararuke midomo.
Mother fucker!!!
Wanajikuta tu akina mwafulani, kuvamia masusu kwa mambo yasowagusu, wengine ndio kwaaanza nawaona leo, ukiwauliza wa wapi, wametoka wapi...hawajulikani akhera wala mbinguni.
Wapo wapo tu kama milingoti ya simu,
Wamenyooka kama rula, na vichwa vyao kama nyanya za nyongeza.

Wanajifanya kushadadia tu, hawajui tulikoanzia, hawajui tunakoelekea, wavamia treni kwa mbele, ina huuuuu!!!!
Watupishe sie na sura zao kavu kama mtindi uliochachuka.
Mxyiuuuuuu.....!!!
Maana naona wengine walitaka kujua tabia zetu za ndani, ngoja tuwaoneshe sasa.

Kama wao mabingwa wa kusema, mbona yao hawayasemi?
Watoe kwanza boriti jichoni mwao, ndo waje kwetu.
Wapumba.vu wakubwa.

Tangu jana nyok.o nyok.o......yao wanayakalia ili waote mikia au waote sugu za makalioni?
Watukome, hatujabisha hodi kwaokuomba chumvi wala unga.

Wamekalia Ugolikipa tu,
Mwanamke piga kazi, kelele muachie kondakta.
Kujifanya vimbelembele kama fundo la msuli, ina huuuu!!!!

Nimechefukwaaaa!!!!
 
Kumbe Madame B ni mwalimu?!!!
Yaani nikikumbuka vituko vyako jukwaa la wakubwa na jinsi kazi yako ilivyo ya nidhamu na heshima

Mm nilikuwanachukulia kama mwanamke flani aliyeshindikana na Kokop kweli ...
Aisee kweli usiamini kila unaloliona jf
Sifa moja ya mwalimu ni KUENDANA NA MAZINGIRA.
Mie mpaka leo kuna watu hawajui kazi yangu, naendana na mazingira.
Kwenye umbea nipo, kwenye ushenzi nipo hata kwenye uchangu nipo.

Ula inapofika mahala watu tukashindwa kuheshimiana, acha tu waone tunakopata jeuri zote.
Hahahahaha
Ulijua natokea Kimboka au?
 
Nakwambia, kila mtu kageuka msemaji wa Serikali.
Nyooooko zao, mbona yao wameyafumbata kifuani, si wayaache wazi tuyaone!!

Yaani wajinga wajinga na wapumbavu kama hawa hapa, mie wala hawanipi presha, maadam nikifika mwisho wa mwezi naenda kutekenya mashine, waongeee mpaka wararuke midomo.
Mother fucker!!!
Wanajikuta tu akina mwafulani, kuvamia masusu kwa mambo yasowagusu, wengine ndio kwaaanza nawaona leo, ukiwauliza wa wapi, wametoka wapi...hawajulikani akhera wala mbinguni.
Wapo wapo tu kama milingoti ya simu,
Wamenyooka kama rula, na vichwa vyao kama nyanya za nyongeza.

Wanajifanya kushadadia tu, hawajui tulikoanzia, hawajui tunakoelekea, wavamia treni kwa mbele, ina huuuuu!!!!
Watupishe sie na sura zao kavu kama mtindi uliochachuka.
Mxyiuuuuuu.....!!!
Maana naona wengine walitaka kujua tabia zetu za ndani, ngoja tuwaoneshe sasa.

Kama wao mabingwa wa kusema, mbona yao hawayasemi?
Watoe kwanza boriti jichoni mwao, ndo waje kwetu.
Wapumba.vu wakubwa.

Tangu jana nyok.o nyok.o......yao wanayakalia ili waote mikia au waote sugu za makalioni?
Watukome, hatujabisha hodi kwaokuomba chumvi wala unga.

Wamekalia Ugolikipa tu,
Mwanamke piga kazi, kelele muachie kondakta.
Kujifanya vimbelembele kama fundo la msuli, ina huuuu!!!!

Nimechefukwaaaa!!!!

Kweli mwalimu umechafukwa.
Basi mama acha wasogoe tu, sie tupige kazi.
 
Lakini kuna kitu kilicho dhahiri, yule mtoto anaonekana ni sugu. Si halali Mwalimu kumtandika mtoto kiasi kile lakini haiwezekani pia mtu mwenye akili timamu apandwe na hasira kiasi cha kufanya vile bila sababu ya msingi. Ukimtazama na kumsikiliza yule mtu, kuna kitu hakipo sawa, ni mtoto asiye na heshima, huenda wazazi wake wakiulizwa wataweza kutuambia ni mtoto wa namna gani.

Kuna watoto ni wa ajabu. Nakumbuka wakati tunasoma, kuna siku mtoto mmoja aliyekuwa shule ya msingi, alitambaa chini kwa chini wakati mwalimu wa kike akiwa amekaa, anasahihisha kazi za wanafunzi darasani huku wanafunzi wale wakiwa wamepewa test, akaacha kufanya test akatambaa mpaka chini ya mwalimu yule kwaajili ya kumchungulia. Wanafunzi wengine walikaa kimya. Mwalimu mwingine wa kike aliyekuwa akipita nje akamwona kupitia dirishani. Yule Mwalimu aliyekuwa akichunguliwa, aliapa hawezi kumfundisha tena mtoto yule. Walimu wengine, wa kiume walimcharaza hasa yule mtoto, kama mbwa koko. Na kale katoto kakamgomea Baba yake kurudi tena shuleni. Kwa hiyo pia tujue kuna watoto walioshindikana.

Yule mtoto wa Mbeya Day yumkini atakuwa ni jeuri na ama ana dharau pia. Mimi nilisoma Tosamaganga chini ya headmaster Mpkgole tuliyezoea kumwita Dudu. Yeye alikuwa hana muda wa kuwasumbua wazazi waje shuleni kwa sababu watoto wao ni wabishi, wakosaji au wamegomea adhabu. Ukimkatalia adhabu mwalimu wa kawaida, ukifikishwa kwa Dudu unaweza kutandikwa ngumu itakayokupeleka ardhini. Ukisalimu amri, unalala chini halafu unatandikwa mara mbili ya zile ulizomgomea Mwalimu wa kawaida.

Ukipatikana unaongea lugha tofauti na Kiingereza adhabu ilikuwa ni 2x where x =your class. Kwa hiyo ni bakora 12 kama wewe ni Form 6, na shule kila mwaka ilikuwa ni miongoni mwa shule bora kabisa katika masomo.

Upigaji ule wa mtoto una hatari kiusalama maana ilikuwa rahisi kugongesha kichwa kwenye sakafu, na inaweza kutokea bahati mbaya mtoto akafa. Lakini siafiki kabisa mwanafunzi kumdharau Mwalimu au kutomsikiliza Mwalimu. Mwalimu aheshimiwe kutokana na wajibu wake kwa jamii. Siku za huko nyuma, baadhi ya wazazi ambao walikuwa wanaona watoto wao wamewashinda, walikuwa wanaenda shuleni kuwaeleza walimu ukosefu wa nidhamu wa watoto wao kwa nia ya kuwataka walimu wawanyooshe watoto wao waliowashinda, kwa sababu waliamini kuwa walimu wana uwezo wa kusimamia nidhamu.

Wale walimu wanafunzi walifanya kosa lakini hata wao maadam bado wanasoma ni watoto pia. Wangepewa adhabu kutokana na nafasi zao lakini siyo sahihi kuwafukuza kabisa!
 

Kweli mwalimu umechafukwa.
Basi mama acha wasogoe tu, sie tupige kazi.
Kazi tunapiga na minyoosho kama kalambwanda.
Kama mbwai, acha iwe mbwai tu.
Hapa ni mbwa kala mbwa a.k.a mbuzi kafia kwa muuza supu.
Kesi ya nyani wanampa ngedere?
Alaaaaaaa!!!!!
 
Sifa moja ya mwalimu ni KUENDANA NA MAZINGIRA.
Mie mpaka leo kuna watu hawajui kazi yangu, naendana na mazingira.
Kwenye umbea nipo, kwenye ushenzi nipo hata kwenye uchangu nipo.

Ula inapofika mahala watu tukashindwa kuheshimiana, acha tu waone tunakopata jeuri zote.
Hahahahaha
Ulijua natokea Kimboka au?
Sio utani mm nilijua ni changu mmoja matata sana
Aisee acha tu
 
Back
Top Bottom