Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

kipindi na fundisha niliwahi kutana na changamoto moja sito isahau jamani!!!!

kuna watoto wakorofi lakini basi tu!!! kuna mtoto wa kidato cha tatu alimpiga tofali mwalimu la kichwa mpaka leo huwa anapoteza poteza kumbukumbu alafu kisa mwalim kamkamata mtoto ametoroka yuko kwenye PS

chaajabu mwanafunzi aliamishiwa shule ingine!!!!!
What goes around comes around.....huyo mwanafunzi hayuko salama, yapo ya kumpata. Malipo ni hapahapa duniani.
 
Nawahurumia sana waalimu wanawakat mgumu sana serikali imewatenga, wanafunzi wanawadharau wakitaka kuwanyoosha serikali na wazaz huwajia juu dah! Inauma sana pole sana waalimu lakn ikumbukwe kwamba nyie ndio mzizi Wa uhai Wa nchi..
 
Kuna kesi moja ya bibi alikuwa anaishi na mjukuu wake wa kiume...... Siku moja usiku mjukuu kaja akavunja mlango akamalala bibi yake. .


Bibi yake badala ya kwenda Polisi alienda kushtaki shule...... Na dogo aliitwa na akakiri.

Alipewa kichapo kitakatifu alitubu dhambi zake zote
Laana hiyo Ndicho wazazi wengine mpaka kiwafike ndio akili zitafunguka!!!
 
Leo sasa Nimepata jibu kua kwanini yule mkUu Wa mkoa aliamua kuwachapa !!! Kazi ya Ualimu ni wito lakini sasa hivi imekua kimbilio la waliofeli na kukosa pakwenda sasa kufanya upuuzi kama ule sishangai ...Mtoto kama kagoma kuna adhabu mbadala kama kumwita mzazi wake na aadhibiwe mbele yake au kusign black book kisha aadhibiwe au kurudishwa nyumbani kwa muda kidogo ! Ila sasa Hawa walimu Wa sasa hivi wanasahau kazi waliosomea na kuvuka mipaka na kua kama kikosi cha kutuliza ghasia au ......Badilikeni bwana ...
 
Leo sasa Nimepata jibu kua kwanini yule mkUu Wa mkoa aliamua kuwachapa !!! Kazi ya Ualimu ni wito lakini sasa hivi imekua kimbilio la waliofeli na kukosa pakwenda sasa kufanya upuuzi kama ule sishangai ...Mtoto kama kagoma kuna adhabu mbadala kama kumwita mzazi wake na aadhibiwe mbele yake au kusign black book kisha aadhibiwe au kurudishwa nyumbani kwa muda kidogo ! Ila sasa Hawa walimu Wa sasa hivi wanasahau kazi waliosomea na kuvuka mipaka na kua kama kikosi cha kutuliza ghasia au ......Badilikeni bwana ...
Inategemeana na mazingira ya ukaidi na misbeheve ya huyo mtoto ! na wewe badilika buanaaa...
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Tahadhari tafadhali mleta mada waliompiga mwanafunzi yule si walimu ifahahamike bali ni wanafunzi wa ualimu wamempiga mwanafunzi mwenzao.Hivyo wasiharibiwe sifa walimu wa tz wenye sifa ya uadilifu,wavumilivu hata wakinyimwa stahiki zao kwa makusudi wameendelea kuwa wazalendo
 
kipindi na fundisha niliwahi kutana na changamoto moja sito isahau jamani!!!!

kuna watoto wakorofi lakini basi tu!!! kuna mtoto wa kidato cha tatu alimpiga tofali mwalimu la kichwa mpaka leo huwa anapoteza poteza kumbukumbu alafu kisa mwalim kamkamata mtoto ametoroka yuko kwenye PS

chaajabu mwanafunzi aliamishiwa shule ingine!!!!!
Mkuu inawezekana huyo mwanafunzi ndo huyu Frenki keshakuwa naye mwalimu. Mbona atawa bonda sana watoto wetu.
 
Nawahurumia sana waalimu wanawakat mgumu sana serikali imewatenga, wanafunzi wanawadharau wakitaka kuwanyoosha serikali na wazaz huwajia juu dah! Inauma sana pole sana waalimu lakn ikumbukwe kwamba nyie ndio mzizi Wa uhai Wa nchi..
Wachache wenye huu uelewa wako. Wanafikiri its easy just like that.
 
Leo sasa Nimepata jibu kua kwanini yule mkUu Wa mkoa aliamua kuwachapa !!! Kazi ya Ualimu ni wito lakini sasa hivi imekua kimbilio la waliofeli na kukosa pakwenda sasa kufanya upuuzi kama ule sishangai ...Mtoto kama kagoma kuna adhabu mbadala kama kumwita mzazi wake na aadhibiwe mbele yake au kusign black book kisha aadhibiwe au kurudishwa nyumbani kwa muda kidogo ! Ila sasa Hawa walimu Wa sasa hivi wanasahau kazi waliosomea na kuvuka mipaka na kua kama kikosi cha kutuliza ghasia au ......Badilikeni bwana ...
Jisome kwanza wewe alafu hayo mabadiliko unayoyaimba yaanzie kwako na uwe MZAZI kwa wanao.
 
mhhhhh sidhani kama sio waalimu !! kinachomfanya mtu kuwa mwalimu ni ile profession na sio ajira !!

hata kama dokta yupo tu nyumbani kama alisomea udokta basi ni dokta huyo.
 
Nawahurumia sana waalimu wanawakat mgumu sana serikali imewatenga, wanafunzi wanawadharau wakitaka kuwanyoosha serikali na wazaz huwajia juu dah! Inauma sana pole sana waalimu lakn ikumbukwe kwamba nyie ndio mzizi Wa uhai Wa nchi..
Huwa nakukutaga sehemu unamwaga pumba sana Mgirik, kumbe huwa unajielewaga eeeee.
Safi sana.
Kitu kizuri lazima kisifiwe kwa maana hakuna asiyepitia kwa mwalimu.
Tuko pamoja mkuu
 
Taifa linapitia kipindi kigumu cha kiwango kikubwa cha mmomonyoko wa maadili......

Huwezi kuamini maneno haya kuwa yanatoka kwa mtu....ambaye jamii na taifa kwa ujumla vimemuamini kusimamia maaadili ya vijana wetu.....

Hawa ndio wapishi wa wajenzi wa taifa la kesho kwa kutuandalia wataalamu wa fani mbali mbali.....
Kupitia haya unayoyasoma unaweza ukajenga picha kuwa tunajenga taifa la aina gani siku za usoni....???

Unaaweza ukapata picha kuwa ni kwanini taifa limefikia hapa lilipo sasa kielimu na kimaadili.....kwa ujumla...

Haya si mambo yaliyozuka tu kama upepo... hapana.....haya ni mambo yaliyojengwa na kuachwa kwa miaka mingi na haya ni matunda yake......

Tunatambua kuwa kada ya ualimu inakumbana na matatizo mengi.....lakini mbaya zaidi na nyinyi waalimu mmeshakuwa ni sehemu ya tatizo hilo.......

Hakuna haki bila ya wajibu......wakati unapigania haki zako unatakiwa ujiulize je wewe mwenyewe umetimiza wajibu wako....!!? Isije kuwa unadai haki ambayo hukuitimizia wajibu wake......

Je unadai malimbikizo ya madai yako kwa mwaka mzima je mwaka wote huo....ulikuwa unahudhuria darasani na kufundisha ipasavyo......???

Unadai nyongeza ya mshahara je huo uliopo unautendea haki kwa kuulipa kwa kutimizia wajibu wake...!!??

Maadili yanaanzia ngazi ya familia....hawa tunaowalea katika misingi mibovu ya maadili....ndio hawa wanaokuja kuwa waalimu.....ndio hawa wanaokuja kuwa wanajeshi na mapolisi......sasa unategemea kuwa watakuwa watumishi wa aina gani......wakati yeye mwenyewe kwenye akili yake msamiati wa maadiii haupo.....!!!??

Nasikitika kuwa tunajenga taifa la watu wajinga na wapumbavu kwa kuwa hata hao waliotakiwa kuwatoa ujingani vijana wetu ni wajinga pia na wapumbavu........

Ni mpumbavu pekee kama sio mjinga mwenye kuja hapa na kutoa maelezo kama aliyotoa mtoa mada......

Katika mataifa yanayojua thamani ya elimu na madhara ya kuwa na walimu kama mtoa mada kwenye mfumo wa elimu huyu mtu angeshachukuliwa hatua zamani sana.....na pengine kufungwa.....inawezekana huyu mtu ni mzoefu wa kutenda unyama huko mashuleni kwa mgongo wa adhabu......inawezekana huyu bwna amehusika na matendo mengi ya kikatili na kidhalilishaji dhidi ya wanafunzi huko shuleni.....tutayajua mengi baada ya kumtia ndani na kumbana bara bara....hawezi kuwa kayasema haya hivi hivi tu....lazima kuna namna tu....

Shime shime mamlaka husika zimshughulikie huyu bwna mara moja.....na naomba mods mtoe ushirikiano katika hili...kwani hili linagusa taifa hasa ukizingatia wakti tuliopo.......

Kuwa na waalimu kama hawa ndio maana wazazi wengi jamii za wafugaji hawaoni umuhimu wa kuwapeleka watoto shule....ni mzazi gani atavumilia kumuona mwanawe kila siku anarudi na manundu kutokana na vipigo vya walimu pasi na sababu za msingi....!!???

TANZANIA NJEMA ITAJENGWA NA WAZALENDO NA WANAOTIMIZA WAJIBU WAO.....
 
Hahahaaaaa walimu wajiendeleze hata wakiwa kazini, simu za mkononi sio udaku na kushinda JF tu.
Utajuaje kama wengine wapo zaidi ya hizo walipopitia maishani...

Zitto Kabwe kaandika kitu wamerusha uzi re walimu wa sasa.
Mie ni mwalimu, najua nini naenda kufanya katika kazi yangu.
Hayo aliyoandika Zitto, yasome wewe kwa faida yako ili uelewe.
Aliyenilipia ada tu, hanipangii cha kufanya, iweje wewe tuliyekutana hewani unipangie cha kufanya?
Unajua elimu yangu kwa kupitia ninachoandika hapa?
Udaku una rangi gani kwa mfano?
Simu yangu, jua kuchat na ku-comment, mengine wala hayakuhusu my dear.

Mpaka nimefika hapa, unajua changamoto gani nimepitia?
Please, sio wote wanaoshinda Jf hawana kazi.
Sisi tumeshajitambulisha kazi zetu, una lingine?
Udaku nafanya na Jf naingia, labda uibe password yangu.
 
Walimu wamechachamaa kwenye huu uzi
.
Madame b Mtoto wangu anasoma kwenye Shule yako. Jumatatu nakuja twende one to one...tehe
 
Hiyo comment yake niliishia kumhurumia tu maana kumuelewa huyu mtoto aandikacho, inahitajika uwe mwalimu.
Mie hadi huwa nahisi dishi lake limeyumba ila kwakua wote ni shabiki wa baba Tifa huwa nampa like tu ila sijawahi kuelewa anachoandikaga nadhani angeenda MMEMKWA
 
Taifa linapitia kipindi kigumu cha kiwango kikubwa cha mmomonyoko wa maadili......

Huwezi kuamini maneno haya kuwa yanatoka kwa mtu....ambaye jamii na taifa kwa ujumla vimemuamini kusimamia maaadili ya vijana wetu.....

Hawa ndio wapishi wa wajenzi wa taifa la kesho kwa kutuandalia wataalamu wa fani mbali mbali.....
Kupitia haya unayoyasoma unaweza ukajenga picha kuwa tunajenga taifa la aina gani siku za usoni....???

Unaaweza ukapata picha kuwa ni kwanini taifa limefikia hapa lilipo sasa kielimu na kimaadili.....kwa ujumla...

Haya si mambo yaliyozuka tu kama upepo... hapana.....haya ni mambo yaliyojengwa na kuachwa kwa miaka mingi na haya ni matunda yake......

Tunatambua kuwa kada ya ualimu inakumbana na matatizo mengi.....lakini mbaya zaidi na nyinyi waalimu mmeshakuwa ni sehemu ya tatizo hilo.......

Hakuna haki bila ya wajibu......wakati unapigania haki zako unatakiwa ujiulize je wewe mwenyewe umetimiza wajibu wako....!!? Isije kuwa unadai haki ambayo hukuitimizia wajibu wake......

Je unadai malimbikizo ya madai yako kwa mwaka mzima je mwaka wote huo....ulikuwa unahudhuria darasani na kufundisha ipasavyo......???

Unadai nyongeza ya mshahara je huo uliopo unautendea haki kwa kuulipa kwa kutimizia wajibu wake...!!??

Maadili yanaanzia ngazi ya familia....hawa tunaowalea katika misingi mibovu ya maadili....ndio hawa wanaokuja kuwa waalimu.....ndio hawa wanaokuja kuwa wanajeshi na mapolisi......sasa unategemea kuwa watakuwa watumishi wa aina gani......wakati yeye mwenyewe kwenye akili yake msamiati wa maadiii haupo.....!!!??

Nasikitika kuwa tunajenga taifa la watu wajinga na wapumbavu kwa kuwa hata hao waliotakiwa kuwatoa ujingani vijana wetu ni wajinga pia na wapumbavu........

Ni ******** pekee kama sio mjinga mwenye kuja hapa na kutoa maelezo kama aliyotoa mtoa mada......

Katika mataifa yanayojua thamani ya elimu na madhara ya kuwa na walimu kama mtoa mada kwenye mfumo wa elimu huyu mtu angeshachukuliwa hatua zamani sana.....na pengine kufungwa.....inawezekana huyu mtu ni mzoefu wa kutenda unyama huko mashuleni kwa mgongo wa adhabu......inawezekana huyu bwna amehusika na matendo mengi ya kikatili na kidhalilishaji dhidi ya wanafunzi huko shuleni.....tutayajua mengi baada ya kumtia ndani na kumbana bara bara....hawezi kuwa kayasema haya hivi hivi tu....lazima kuna namna tu....

Shime shime mamlaka husika zimshughulikie huyu bwna mara moja.....na naomba mods mtoe ushirikiano katika hili...kwani hili linagusa taifa hasa ukizingatia wakti tuliopo.......

Kuwa na waalimu kama hawa ndio maana wazazi wengi jamii za wafugaji hawaoni umuhimu wa kuwapeleka watoto shule....ni mzazi gani atavumilia kumuona mwanawe kila siku anarudi na manundu kutokana na vipigo vya walimu pasi na sababu za msingi....!!???

TANZANIA NJEMA ITAJENGWA NA WAZALENDO NA WANAOTIMIZA WAJIBU WAO.....
Teh teh teh teeeeeh!!!
Naona umelauuuuumu walimu, haujaongelea chanzo hata kidogo, kwahiyo hapo bado sana kuelekea huko unakokutaka.
I wish ningeandika kitu fulani sema kitakuwa kirefu sana.
 
mleta mada
uwalimu changamoto sana!
ikumbukwe walimu sio maroboti, ni watu kama wengine na wana moyo..
haiwezekani mwanafunzi apigwe vile bila kosa la kustahili mkong'oto!!!

hakuna anaependa dharau
ukicheka cheka na nyani utavuna mabua!
ukiwachekea wanafunzi saana ,hata pasipo stahili watakuvua suruali utembee uchi..

kwa matendo aloyafanya yule kijana, kama ni kweli
mimi saivi ningekua ukonga!!
 
Haka kakitu kadogo kila mtu anakijuta ndalichako, yani vitu vya kajinga Watz ndo mnafunguaga matundu yooote ya miili yenu kupiga kelele, mmepata pa kupigia kelele tumieni nafasi, wakati mkingoja tukio jingine...... Ovyo sana
 
Back
Top Bottom