Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Inawezekana ukawa ni mwalimu sawa lakini mwalimu wa wajinga
Ndio ni mwalimu wa wajinga !! basi kama mwanao sio mjinga hahitaji mwalimu !!!

kwa comment hii, na wewe unaonekana unamahitaji makubwa ya waalimu.
 
Evelyn Salt nimejipanga !! staki kutishika na mihemko ya watu humu !!

kipindi Fulani humu kila mtu alikuwa mchambuzi wa bombardier hata ambao hawajawai panda ndege!!
kete imetugeukia kila mtu anajua ethics za ualimu !!
Tz ni shida.
Mi nimekuelewa vema na ninaelewa pia.....
Juzi juzi hapa kuna mitoto kama sita ilimfata mwalimu nyumbani kwake ikataka kumpiga eti wamepigwa viboko vinne vinne wapo shule adhabu nyingine wanasubiri bodi ya shule ikae huu si usengerema.
Kuna nyang'au jingine nililichapa baada ya hapo likaubusu mkono nilitamani kupasuka kwa hasira ilibidi nirudi kulala.
Mie kwenye hii ishu sioni cha ajabu wala
 
Evelyn Salt kwajinsi nilivyo huyo aliyebusu mkono wako , sasa hivi ungekuwa unaona tangazo la kumbukumbu ya kifo chake BANGO na TBC. Thanks to God hatupo shule moja!!! *****!!
 
Evelyn Salt kwajinsi nilivyo huyo aliyebusu mkono wako , sasa hivi ungekuwa unaona tangazo la kumbukumbu ya kifo chake BANGO na TBC. Thanks to God hatupo shule moja!!! *****!!
😀😀😀😀😀😀😀
My ribs!!!
Hakubusu mkono wangu, alibusu mkono wake, nlivomaliza kuuchapa akaubusu means kadharau nlipata hasira zisizosimulika....matokeo yametoka ametaga kapata alichostahili
 
Mimi pia ni mwl wa malezi !! nahakikisha kuwa bikra ya mkeo mtarajiwa iko salama bado mnatutibua !!! CAN'T YOU CALCULATE THE RISK YOU PEOPLE?
Imebidi nicheke tu
Aah mura weitu
 
mpaka kieleweke !!
make naona Msako wa Mwl Frank ni mkubwa Kuliko LUGUMI
Umenichekesha sana uliposema msako wa mwalimu ni mkubwa kuliko lugumi, punguza hasira ni kweli inaudhi sana kudhalilishwa na mtoto tena mbele ya watoto wenzake, ila tujiulize ile heshima kwa mwalimu iliyokuwepo zamani imeenda wapi? nani kasababisha ikaondoka? Zamani mwalimu alikuwa anaheshimiwa hata na mzazi wa mwanafunzi why now haiko hivyo? walimu nanyi hebu nitahminini kwanza.
 
Umenichekesha sana uliposema msako wa mwalimu ni mkubwa kuliko lugumi, punguza hasira ni kweli inaudhi sana kudhalilishwa na mtoto tena mbele ya watoto wenzake, ila tujiulize ile heshima kwa mwalimu iliyokuwepo zamani imeenda wapi? nani kasababisha ikaondoka? Zamani mwalimu alikuwa anaheshimiwa hata na mzazi wa mwanafunzi why now haiko hivyo? walimu nanyi hebu nitahminini kwanza.
Heshima ya mtumishi yeyote hupandishwa na kushushwa na wanasiasa!! jiandae na hii thread ntaileta soon !! nitakutag worry out.
 
Heshima ya mtumishi yeyote hupandishwa na kushushwa na wanasiasa!! jiandae na hii thread ntaileta soon !! nitakutag worry out.
Naisubiri bali ombi langu bado nalisisitiza, jaribu kukaa na walimu wenzako mjiulizw why now?! kuna nini tatizo ni watoto au elwalimu?!maana kwa kweli wanafunzi wa sasa ni shida.
 
Kumpiga ukiwa peke yako afadhali sio unaenda kuita kikundi cha walimu waje hili mumchangie mtoto mdogo Kama Yule Kwanza nikuji dhalilisha wanaume watatu mnamchangia mvulana mmoja ambaye hana hata kiwembe
Wale wengine walikuwa wanamtia lock

Si unajua kueleminate maskopionu kunahitaji nguvu ya ziada
 
Acha upuuzi ww mkurya gani msen...nge asye na utu nadhani hata kama ww ni mkurya utakuwa hauna dam ya ukurya ww maana ss wakurya tunao huu msemo "" omona woonde no wao"" maana yake mwana wa mwenzio ni sawa na mwanao kwa hiyo ustafute sifa za kijinga kwa kigezo cha ukabila wakurya hatuna unyama huo japo jina letu linaoneshwa kuwa ss ni wakorofi!!!
 
Wale wengine walikuwa wanamtia lock

Si unajua kueleminate maskopionu kunahitaji nguvu ya ziada
Yaani niliangalia ile video wakati nasubiri kipigo kinachosikitisha video ikaisha !!!!! watu buana!!!!
 
Siasa ndio inaharibu sana jamii, hivi yule amkubwa alieamrisha WAPIGWE tu alibainisha umri? Alisisitiza kuwa kila avunjaye sheria na APIGWE maana hakuna namna, mwalimu katimiza. Viongozi wanapoongea jambo wajifunze kujitafakari si kuropoka tu.
 
Acha upuuzi ww mkurya gani msen...nge asye na utu nadhani hata kama ww ni mkurya utakuwa hauna dam ya ukurya ww maana ss wakurya tunao huu msemo "" omona woonde no wao"" maana yake mwana wa mwenzio ni sawa na mwanao kwa hiyo ustafute sifa za kijinga kwa kigezo cha ukabila wakurya hatuna unyama huo japo jina letu linaoneshwa kuwa ss ni wakorofi!!!
nimesema wapi Mimi mkurya !! nimesema nina ukurya .....unatabia za kike sana!!
unahofia kutoswa na demu wako akiona hii post !!! be a man na jiamini !!,
 
Ni kweli, zama za kulazimishana kusoma zilipitaga enzi za nyerere. Mimi pia nilisoma na watukutu waliojipindia vibaya, lakini wakikanyaga eneo la shule ni discipline kwenda mbele, kwasababu ilikuwa ukileta ujinga Headmaster anampigia simu babaako aje kukuchukua usiwapotezee watu muda. Swala la academy ndio usiulize, muhula ukianza mwalimu anatoa syllabus na anakwambia vitabu gani usome. Hakukuwa na haja ya kupigana vibao kwasababu hukufanya homework, utajijua mwenyewe kwasababu end of the year ukiwa bellow 50% inabidi utafute shule nyingine. Kusoma ni hiyari, vijana wanatakiwa waeleweshwe umuhimu wake, sio kupigwa.
Mimi ni mwalimu by profession, tena wa zamani na sasa. Nimeelewa sana point yako ndugu.
 
Acha upuuzi ww mkurya gani msen...nge asye na utu nadhani hata kama ww ni mkurya utakuwa hauna dam ya ukurya ww maana ss wakurya tunao huu msemo "" omona woonde no wao"" maana yake mwana wa mwenzio ni sawa na mwanao kwa hiyo ustafute sifa za kijinga kwa kigezo cha ukabila wakurya hatuna unyama huo japo jina letu linaoneshwa kuwa ss ni wakorofi!!!
sijapost kama mkurya bali mwalimu

" Baba yako akiwa mchagga mama mkurya, utakuwa sio mkurya but utakuwa na ukurya " ukurya ni elements kuwa mwelewa basi "Nyamabhi"

And yes mi Kurya !!
 
Back
Top Bottom