Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Mwalumu kweli umeguswa mpaka unasahau spelling sahihi. Copral punishment ndo nn??
 
nyie vijiwalimu vya BRN tabu sana...

kufundisha hamjui, adabu hamna, kiingereza hamuwezi...

mnachoweza ni kuvaa milegezo na kupaka poda tu.

ndio maana wanafunzi wanawadharau, ... mnacho deliver madarasani ni hovyo hovyo ....

kiama chenu kimefika, mtaendelea kunyooshwa mpaka mtajuta kuwa waalimu.
 
nyie vijiwalimu vya BRN tabu sana...

kufundisha hamjui, adabu hamna, kiingereza hamuwezi...

mnachoweza ni kuvaa milegezo na kupaka poda tu.

ndio maana wanafunzi wanawadharau, ... mnacho deliver madarasani ni hovyo hovyo ....

kiama chenu kimefika, mtaendelea kunyooshwa mpaka mtajuta kuwa waalimu.
kama unajiamin kwa kiingereza post tena kwa lugha hiyo then twendelee !! members wengine watajaji !!

kama huwez kaa kimya !!
 
kama unajiamin kwa kiingereza post tena kwa lugha hiyo then twendelee !! members wengine watajaji !!

kama huwez kaa kimya !!
wewe ni likanyaboya tu.

ati wewe nawe mwalimu!!!!!!

fani ya ualimu siku hizi ni ya hovyo hovyo tu kama hawa ndio walimu wenyewe wa BRN.

mnajaza matope tu kwenye vichwa vya wanafunzi!!

unafundisha kitu gani wewe!!!!!!!!!!!
 
Jamaa wale walitembeza kipigo cha mbwa mwizi ni ngumu sana kueleweka katika jamii,ila watoto wa kiafrika wako tofauti sana na watoto wa kizungu ilo inabidi tulikubali,mtoto wa kiafrika bila mjeledi huwezi tengeneza nidhamu ya kweli,mwafrika mwafrika tu hata viongozi wa kiafrika ndo maana wengi wanaenda kinyume na demokrasia,yaani bila shuruti sisi waafrika hatuwezagi kufata sheria.Pamoja na mambo mengine mjeledi mashuleni uendelee kuwepo ila sio mjeledi kama wa wayaudi!!!.
 
nyie vijiwalimu vya BRN tabu sana...

kufundisha hamjui, adabu hamna, kiingereza hamuwezi...

mnachoweza ni kuvaa milegezo na kupaka poda tu.

ndio maana wanafunzi wanawadharau, ... mnacho deliver madarasani ni hovyo hovyo ....

kiama chenu kimefika, mtaendelea kunyooshwa mpaka mtajuta kuwa waalimu.
Inawezekana na wewe ni mzazi wa BRN ila hujijui manake huyo mwalimu hakufundishwa peke yake akiwa shule.Humo humo walitoka madocta,wanasheria, wafanya biashara nk.
 
wewe ni likanyaboya tu.

ati wewe nawe mwalimu!!!!!!

fani ya ualimu siku hizi ni ya hovyo hovyo tu kama hawa ndio walimu wenyewe wa BRN.

mnajaza matope tu kwenye vichwa vya wanafunzi!!

unafundisha kitu gani wewe!!!!!!!!!!!
Acha porojo, umeambiwa urudie post yako kwa Kiingereza tujue how competent you are!! Sio unapanua mdomo tu kama mamba humu ndani!!
 
Back
Top Bottom