Wana ubinafsi na wapo kifedha Zaid,Hii ni kweli kabisa,misikiti Mingi,hutoa huduma ya maji Bure kabisa.
Hata nyumba za matajiri wa kiarab,utakuta Kuna Bomba nje,we ni kujichotea tu,mpaka maji ya kunywa kwenye dispenser Tena ya baridi kabisa,hutolewa bure,
Sijawahi ona kanisa likitoa hii huduma,wao hutuambia wanajenga shule na hospitari,lakini huduma zote hizi bei zake huwa balaa
Kongole kwa GENTAMYCINEMwenyezi Mungu awabariki Waislamu wote, Misikiti yote na Vyuo vyenu kwa kutoa Bure kabisa na kwa Gharama Ndogo Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa Taasisi za Kikristo naomba GENTAMYCINE ninyamaze tu huku nikiwa na Maumivu yangu kwani kuna mahala Kanisa lina Matenki ya Maji Matano na Visima Viwili ila hakuna hata Mtu anayeambiwa akachote Maji sana sana GENTAMYCINE nimeona tu Nguo za Wanaotupigisha Magoti Kimakusudi kila Jumapili zikifuliwa huku Walinzi wakimwagiana Maji kwa Mmoja wao Kusheherekea Birthday yake huku akiwa ni Masikini wa Kutukuka kama GENTAMYCINE Mimi.
Waislamu Tanzania Asanteni, Mbarikiwe zaidi na sina Deni nanyi. Ndiyo maana nimeapa kuwa nikija Kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu na ikiwezekana hata GENTAMYCINE kutakiwa kuwa Muislamu nitafanya hivyo tena haraka mno kwa Kuitwa ama Mohamed GENTAMYCINE au Suleiman GENTAMYCINE kutokana na Roho Nzuri na ya Utu niliyoiona kwa Waislamu wengi tofauti na kwa Wakristo wenzangu.
Waislam wa Tanzania ni watu wa kipekee sana..ni waungwana sana..Hata mimi pia nakuunga mkono kuwashukuru na kuwaombea.Mwenyezi Mungu awabariki Waislamu wote, Misikiti yote na Vyuo vyenu kwa kutoa Bure kabisa na kwa Gharama Ndogo Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa Taasisi za Kikristo naomba GENTAMYCINE ninyamaze tu huku nikiwa na Maumivu yangu kwani kuna mahala Kanisa lina Matenki ya Maji Matano na Visima Viwili ila hakuna hata Mtu anayeambiwa akachote Maji sana sana GENTAMYCINE nimeona tu Nguo za Wanaotupigisha Magoti Kimakusudi kila Jumapili zikifuliwa huku Walinzi wakimwagiana Maji kwa Mmoja wao Kusheherekea Birthday yake huku akiwa ni Masikini wa Kutukuka kama GENTAMYCINE Mimi.
Waislamu Tanzania Asanteni, Mbarikiwe zaidi na sina Deni nanyi. Ndiyo maana nimeapa kuwa nikija Kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu na ikiwezekana hata GENTAMYCINE kutakiwa kuwa Muislamu nitafanya hivyo tena haraka mno kwa Kuitwa ama Mohamed GENTAMYCINE au Suleiman GENTAMYCINE kutokana na Roho Nzuri na ya Utu niliyoiona kwa Waislamu wengi tofauti na kwa Wakristo wenzangu.
Hakuna uthibitisho kama wale ni waislam au km ni kwel wanashida una kumbuka enz ya kakobe vp kuhusu mfalme zumaridi na je bg malisa nae wale wafanyabiashara mjomba ata mwamposa atapita kujaza watu sio kama anaokoa kwel unajua dunia ya sasa imejaa shida na maradh tofaut ukisema unasaidia watakufuata kumbe ujanja mwingiSasa mbona Waislamu wengi wanajaa kwa Mwamposa kila siku kwenda kuokoka!?
Ukweli ni kuwa waislamu misingi Yao I imesimama , ukristo umekuwa biashara , na hii inatokana na kuwepo Kwa room ya kuota Kwa madhehebu kama uyoga , kila mtu ni mchungaji , imagine et masanja mara MC pili pili ni mchungajiMwenyezi Mungu awabariki Waislamu wote, Misikiti yote na Vyuo vyenu kwa kutoa Bure kabisa na kwa Gharama Ndogo Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa Taasisi za Kikristo naomba GENTAMYCINE ninyamaze tu huku nikiwa na Maumivu yangu kwani kuna mahala Kanisa lina Matenki ya Maji Matano na Visima Viwili ila hakuna hata Mtu anayeambiwa akachote Maji sana sana GENTAMYCINE nimeona tu Nguo za Wanaotupigisha Magoti Kimakusudi kila Jumapili zikifuliwa huku Walinzi wakimwagiana Maji kwa Mmoja wao Kusheherekea Birthday yake huku akiwa ni Masikini wa Kutukuka kama GENTAMYCINE Mimi.
Waislamu Tanzania Asanteni, Mbarikiwe zaidi na sina Deni nanyi. Ndiyo maana nimeapa kuwa nikija Kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu na ikiwezekana hata GENTAMYCINE kutakiwa kuwa Muislamu nitafanya hivyo tena haraka mno kwa Kuitwa ama Mohamed GENTAMYCINE au Suleiman GENTAMYCINE kutokana na Roho Nzuri na ya Utu niliyoiona kwa Waislamu wengi tofauti na kwa Wakristo wenzangu.
Wana kawimbo kao toa ndugu toa ndugu ulicho nacho bwana anakuona mpk rohon kwako hahahaha makanisa yalianzishwa kwa manufaa ya nchi flan flan mfan roma italy anglican england hayakuwa kwa ajil ya wote
Bahati mbaya sana watu wengi huamini Waislam ni watoaji jambo ambalo si kweli. Ni rahisi sana kupata msaada kanisani kuliko msikitini.Mwenyezi Mungu awabariki Waislamu wote, Misikiti yote na Vyuo vyenu kwa kutoa Bure kabisa na kwa Gharama Ndogo Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa Taasisi za Kikristo naomba GENTAMYCINE ninyamaze tu huku nikiwa na Maumivu yangu kwani kuna mahala Kanisa lina Matenki ya Maji Matano na Visima Viwili ila hakuna hata Mtu anayeambiwa akachote Maji sana sana GENTAMYCINE nimeona tu Nguo za Wanaotupigisha Magoti Kimakusudi kila Jumapili zikifuliwa huku Walinzi wakimwagiana Maji kwa Mmoja wao Kusheherekea Birthday yake huku akiwa ni Masikini wa Kutukuka kama GENTAMYCINE Mimi.
Waislamu Tanzania Asanteni, Mbarikiwe zaidi na sina Deni nanyi. Ndiyo maana nimeapa kuwa nikija Kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu na ikiwezekana hata GENTAMYCINE kutakiwa kuwa Muislamu nitafanya hivyo tena haraka mno kwa Kuitwa ama Mohamed GENTAMYCINE au Suleiman GENTAMYCINE kutokana na Roho Nzuri na ya Utu niliyoiona kwa Waislamu wengi tofauti na kwa Wakristo wenzangu.
Iyo hospital ya KMCM mi cfahamu harafu acha shobo we kipap@Akili za kizwazwa hizo nakupa mifano hai ile KMCM hospitali wanaotibiwa pale ni wazungu toka Ulaya au?
Kule Ifakara kuna hospitali ya Mt.Francis wanatibiwa pale nao ni wazungu?
Tumia akili dada sio kazi kufuga nywele na kucha inachelewa sana kujua mambo muhimu ya kwenye maisha ya kawaida.
Akili za kizwazwa hizo nakupa mifano hai ile KMCM hospitali wanaotibiwa pale ni wazungu toka Ulaya au?
Kule Ifakara kuna hospitali ya Mt.Francis wanatibiwa pale nao ni wazungu?
Tumia akili dada sio kazi kufuga nywele na kucha inachelewa sana kujua mambo muhimu ya kwenye maisha ya kawaida.
Sasa mbona Waislamu wengi wanajaa kwa Mwamposa kila siku kwenda kuokoka?
Na watu wanaacha kazi zao kabisa na kwenda kuwasikilizaUkweli ni kuwa waislamu misingi Yao I imesimama , ukristo umekuwa biashara , na hii inatokana na kuwepo Kwa room ya kuota Kwa madhehebu kama uyoga , kila mtu ni mchungaji , imagine et masanja mara MC pili pili ni mchungaji
Sio kuamini sema watu wengi huona na kushuhudia waislamu wakitoaBahati mbaya sana watu wengi huamini Waislam ni watoaji jambo ambalo si kweli. Ni rahisi sana kupata msaada kanisani kuliko msikitini.
Mi sio nabii ila wewe umesoma kati ya shule hizi,TAMBAZA,AZANIA,BENJAMIN au umeishi upanga,kkoo au postaHii ni kweli kabisa,misikiti Mingi,hutoa huduma ya maji Bure kabisa.
Hata nyumba za matajiri wa kiarab,utakuta Kuna Bomba nje,we ni kujichotea tu,mpaka maji ya kunywa kwenye dispenser Tena ya baridi kabisa,hutolewa bure,
Sijawahi ona kanisa likitoa hii huduma,wao hutuambia wanajenga shule na hospitari,lakini huduma zote hizi bei zake huwa balaa
Ndiomaana Ni Bora maraisi wote wawe wa upande huo, maana Nchi huwa inatulia Sana na hakuna mauaji Wala utekajiJambo pekee ninakowavutiwa na Waislamu ni kuwa Marais Waislamu wanakuwa na busara na nchi inastawi vyema kuliko wa upande wetu wa katoliki
acha uongo wewe!Bahati mbaya sana watu wengi huamini Waislam ni watoaji jambo ambalo si kweli. Ni rahisi sana kupata msaada kanisani kuliko msikitini.