Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,418
- 32,516
Kumbe
Mkuu on a serious note uko ( unaishi ) wapi Maji yanatoka kwani Mimi kote kote niliko Kawe Uswahilini na Masaki Ushuani Maji yamekuwa adimu mno mpaka nashindwa hata kwenda Kutongoza ili Nikabandue.Kipind hiki kigumu cha maji ni vizuri kuwa wote ...ila leo yametoka najaza mpaka vijiko.
Kwa Ukarimu na Upendo huu wa Waislamu iwe isiwe ili kuwalipa Fadhila nitakuja Kuoa Mwanamke wa Kiislamu na hata Dini ( kuwa Muislamu ) nipo tayari Kubadili. Nawapenda sana.Hiyo kweli
Wenzetu viongozi wa kiislamu huwa wako vizuri kwenye mambo ya jamii
Shida hupelekea watu watafute faraja. Hata kwa babu wa Loliondo watu walijazanaSasa mbona Waislamu wengi wanajaa kwa Mwamposa kila siku kwenda kuokoka!?
Inshaallah....!!!!!!!Mungu akufikishe siku hiyo aamin
Ww ni hasara kubwa sana.Iyo hospital ya KMCM mi cfahamu harafu acha shobo we kipap@
Asante Mkuu na siku si nyingi nitakaribia huko. Waislamu mna Upendo wa Kweli halafu siyo Wachoyo na Wanafiki kama huku niliko.Karibu kwenye dini ya kweli achana na hao wapiga pesa.
Hata hapa nilipo Kuna msikiti Wana kisima, wanauza maji kwa ndoo sh. Mia tu, Kuna mmoja katika dini ya upande mwingine yeye anauza ndoo mia mbili, Tena anaangalia sura,Kama ulikuwa unapitaga umsalimii upati maji,
Kwa ufupi wakristo wengi Wana Roho mbaya huo ndio ukweli,
Ukiona Siku ama Kanisa au Mkristo anatoa hii Huduma niite na nitakunya ( nitaukweka ) Mubashara kabisa tena Mchana kweupe MP 1 Lugalo Makongo.Hii ni kweli kabisa,misikiti Mingi,hutoa huduma ya maji Bure kabisa.
Hata nyumba za matajiri wa kiarab,utakuta Kuna Bomba nje,we ni kujichotea tu,mpaka maji ya kunywa kwenye dispenser Tena ya baridi kabisa,hutolewa bure,
Sijawahi ona kanisa likitoa hii huduma,wao hutuambia wanajenga shule na hospitari,lakini huduma zote hizi bei zake huwa balaa
Katika Uisilamu tunasema maji ni ya Mwenyezi Mungu,huruhusiwi kumyima binadamu mwenzako,siyo tu kumyima binadamu hata kumyima mnyama huruhusiwi,na kunabaraka tele kuwapa maitaji maji binadamu wenzako,hata kama ulikufa ukaacha visima Mungu anakupa dhawabu na kukupunguzia dhambi zakoMwenyezi Mungu awabariki Waislamu wote, Misikiti yote na Vyuo vyenu kwa kutoa Bure kabisa na kwa Gharama Ndogo Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa Taasisi za Kikristo naomba GENTAMYCINE ninyamaze tu huku nikiwa na Maumivu yangu kwani kuna mahala Kanisa lina Matenki ya Maji Matano na Visima Viwili ila hakuna hata Mtu anayeambiwa akachote Maji sana sana GENTAMYCINE nimeona tu Nguo za Wanaotupigisha Magoti Kimakusudi kila Jumapili zikifuliwa huku Walinzi wakimwagiana Maji kwa Mmoja wao Kusheherekea Birthday yake huku akiwa ni Masikini wa Kutukuka kama GENTAMYCINE Mimi.
Waislamu Tanzania Asanteni, Mbarikiwe zaidi na sina Deni nanyi. Ndiyo maana nimeapa kuwa nikija Kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu na ikiwezekana hata GENTAMYCINE kutakiwa kuwa Muislamu nitafanya hivyo tena haraka mno kwa Kuitwa ama Mohamed GENTAMYCINE au Suleiman GENTAMYCINE kutokana na Roho Nzuri na ya Utu niliyoiona kwa Waislamu wengi tofauti na kwa Wakristo wenzangu.
Amina na Inshaallah Mkuu. Nawe Ubarikiwe.Mwenyezimungu akubariki leo na hata milele. Akufanyie wepesi katika kumkimbia.
Absolute Rubbish.Hivyo visima vinajengwa kwa msaada wa Waturuki kwa 100% na hupewa masharti ya kutoa maji bure.
Wale Waturuki wanapigwa sana na masheikh kwenye ujenzi wa visima na misikiti.
Wanagharamia gharama za kiwanja cha msikiti au kisima kwa 100%
Wanagharamia gharama za ujenzi wa visima au misikiti kwa 100%
Yet watu wanachangishwa gharama za kununua viwanja, tofali n.k.
Wale Waturuki hata leo ukiwaambia tu kuna mahali hakuna msikiti wakija kuprove tu wanatoa pesa yote .
Mbona mnapingana na post #15?.tushike lipi?Kabisa waislamu hata ukiwa na shida ukifika msikitini kama umeishiwa nauli watakusaidia, hauna pakulala watakusaidia, yaani wanajitoa bila unafiki nadhani ndio maana hufanikiwa kua matajiri wakubwa
Hili la Sisi Wakristo kuwa na Roho Mbaya na naongezea pamoja na Unafiki nakubaliana nawe 100% Mkuu.Hata hapa nilipo Kuna msikiti Wana kisima, wanauza maji kwa ndoo sh. Mia tu, Kuna mmoja katika dini ya upande mwingine yeye anauza ndoo mia mbili, Tena anaangalia sura,Kama ulikuwa unapitaga umsalimii upati maji,
Kwa ufupi wakristo wengi Wana Roho mbaya huo ndio ukweli,
Huu ndiyo tunauita Ukweli Mchungu.Bado sijajua tatizo ni nini lakini ukweli ni mmoja tu, Ukristo umekuwa ni biashara.
Madhehebu yote ya Kikristo ni biashara imetawala, hata kuko makanisani wanaangaliana ni yupi mwenye pesa na mwenye pesa ndio anapewa heshima.
Amina ( Amen ) Mkuu.Ukitaka kutoa sadaka ya kweli kwa jamii basi toa maji. Ukitoa maji yatatumiwa na binaadamu, wanyama na wadudu. Pia yataimatisha mazingira
Waislam wanafundishwa sana hili Ndio maana warabu wenye pesa hupenda kujenga visima
Amina, Asante na nitahamia tu huko.Kongole kwa GENTAMYCINE
Karibu katika dini ya haki
Uishi Maisha marefu mkuuMwenyezi Mungu awabariki Waislamu wote, Misikiti yote na Vyuo vyenu kwa kutoa Bure kabisa na kwa Gharama Ndogo Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa Taasisi za Kikristo naomba GENTAMYCINE ninyamaze tu huku nikiwa na Maumivu yangu kwani kuna mahala Kanisa lina Matenki ya Maji Matano na Visima Viwili ila hakuna hata Mtu anayeambiwa akachote Maji sana sana GENTAMYCINE nimeona tu Nguo za Wanaotupigisha Magoti Kimakusudi kila Jumapili zikifuliwa huku Walinzi wakimwagiana Maji kwa Mmoja wao Kusheherekea Birthday yake huku akiwa ni Masikini wa Kutukuka kama GENTAMYCINE Mimi.
Waislamu Tanzania Asanteni, Mbarikiwe zaidi na sina Deni nanyi. Ndiyo maana nimeapa kuwa nikija Kuoa nitaoa Mwanamke wa Kiislamu na ikiwezekana hata GENTAMYCINE kutakiwa kuwa Muislamu nitafanya hivyo tena haraka mno kwa Kuitwa ama Mohamed GENTAMYCINE au Suleiman GENTAMYCINE kutokana na Roho Nzuri na ya Utu niliyoiona kwa Waislamu wengi tofauti na kwa Wakristo wenzangu.