Mwanashheria njaa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,790
- 2,325
Wakisoma hii thread uenda labda wakabadilika nakuanza kuwa na roho nzuri kwa jamii,Ukiona Siku ama Kanisa au Mkristo anatoa hii Huduma niite na nitakunya ( nitaukweka ) Mubashara kabisa tena Mchana kweupe MP 1 Lugalo Makongo.
Taasisi za kikristo zipo kifedha Zaid hazina utu,pamoja pia na waumini wao wamelithi hizo roho za ubinafsi