Mimi napinga ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kwa sababu hizi

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,220
12,725
China anafahamu kuwa bei ya uzalishaji nchini kwake zinapanda hivyo muda si mrefu uzalishaji unaweza kuhamia nchi zingine. Hatakuwa mzalishaji mkubwa duniani siku zote. Anajenga hizo bandari na eneo la uzalishaji/viwanda ili kuhakikisha kuwa bado wanaendelea kuzalisha.

Tukiwa na bandari ya wachina hapo na eneo lao la viwanda tusahau kuja kuwa taifa la viwanda. Tutaendelea kuwa wauza malighafi hadi kiama. Magufuli aliona mbali kuukataa huo mradi.
 
Nii Imani yangu kuwa wewe ni mchato hivyo najua ulitamani iendelezwe Ile ya mwaloniπŸ€”.
 
China anafahamu kuwa bei ya uzalishaji nchini kwake zinapanda hivyo muda si mrefu uzalishaji unaweza kuhamia nchi zingine. Hatakuwa mzalishaji mkubwa duniani siku zote. Anajenga hizo bandari na eneo la uzalishaji/viwanda ili kuhakikisha kuwa bado wanaendelea kuzalisha...
Hii inaonyesha jinsi gani upeo wako upo chini. Na usinilaumu kwa kusema hivi kwa sababu ifuatayo.

Wewe umeandikka "...unapinga ujenzi wa bandari ya Bagamoyo...", halafu unaeleza habari za waChina?

Je, hiyo bandari haiwezi kujengwa na sisi wenyewe, au tukashirikiana na watu wengine au hata hao hao wachina kwa kuzingatia maslahi yetu wenyewe?

Mbona hili swala la Bandari mnalifanya kana kwamba ni mchina pekee ndiye anayetaka hiyo bandari?

Ngoja nikwambie ukweli: sisi wenyewe, Tanzania tunaihitaji sana hiyo bandari mara mia zaidi ya huyo mchina.

Sasa anza kutafuta sababu zetu za kuitaka hiyo bandari kiasi hicho, kama umenielewa katika haya niliyokuandikia hapa.
 
China anafahamu kuwa bei ya uzalishaji nchini kwake zinapanda hivyo muda si mrefu uzalishaji unaweza kuhamia nchi zingine. Hatakuwa mzalishaji mkubwa duniani siku zote. Anajenga hizo bandari na eneo la uzalishaji/viwanda ili kuhakikisha kuwa bado wanaendelea kuzalisha...
Unawaza kuwa na viwanda,unateknolojia?.By the way viwanda ni mtazamo wa kizamani dunia inahamia kwenye digital.
 
Hela achana nayo kabisa.

Lisu alipohongwa hela akasahau kama alishawahi kuwa mtetezi mkubwa wa madini ya Tanzania.

Kwa sababu ya kuhongwa waziri Mwambe amemwaibisha Kikwete kuwa aliweka jiwe la msingi bila kuwa na mkataba wowote.
 
China anafahamu kuwa bei ya uzalishaji nchini kwake zinapanda hivyo muda si mrefu uzalishaji unaweza kuhamia nchi zingine. Hatakuwa mzalishaji mkubwa duniani siku zote. Anajenga hizo bandari na eneo la uzalishaji/viwanda ili kuhakikisha kuwa bado wanaendelea kuzalisha...
π‘΄π’‚π’ˆπ’–π’‡π’–π’π’Š π’‚π’π’Šπ’π’π’‚ π’Žπ’ƒπ’‚π’π’Š π’˜π’‚π’‘π’Š?? π‘²π’‚π’Žπ’‚ π’π’„π’‰π’Š π’•π’–π’Œπ’–π’ƒπ’‚π’π’Šπ’‚π’π’† 𝒏𝒂 π’–π’Œπ’˜π’†π’π’Š π’Œπ’–π’˜π’‚ π’•π’–π’π’‚π’‰π’Šπ’•π’‚π’‹π’Š π’ƒπ’‚π’π’…π’‚π’“π’Š π’Œπ’–π’ƒπ’˜π’‚... π’€π’‚π’‚π’π’Š π’Œπ’‚π’ƒπ’π’‚ π’šπ’‚ π’π’…π’†π’ˆπ’† 𝒏𝒂 π’Žπ’‚π’ƒπ’˜π’‚π’˜π’‚ π’šπ’‚ π’–π’Žπ’†π’Žπ’† π’”π’Šπ’‹π’–π’Š π’Œπ’–π’‰π’‚π’Žπ’Šπ’‚ π‘«π’π’…π’π’Žπ’‚... π’•π’–π’π’Šπ’‘π’‚π’”π’˜π’‚ π’•π’–π’˜π’†π’Œπ’†π’›π’† π’Œπ’˜π’†π’π’šπ’† π’“π’†π’π’Š 𝒏𝒂 π’ƒπ’‚π’π’…π’‚π’“π’Š!
π‘―π’‚π’•π’–π’‹π’‚π’„π’‰π’†π’π’†π’˜π’‚!!
 
Kuna mambo lazima tuyakubali kwanza ndio tupate ukombozi mara ya pili na huu ndio utakuwa ukombozi sahihi sasa..

Lazima mjue nyinyi ni waAfrica na kwenu ni Africa na kila Mwafrica kutoka Africa ni ndugu yako, Africa inapaswa kujengwa na waAfrica, WaAfrica wanapaswa kuwa dini aka imani zao watakazoziishi.....

Mpaka sasa WaAfrica hatuna kila kitu zaidi ya unafiki tu...
 
Hii inaonyesha jinsi gani upeo wako upo chini. Na usinilaumu kwa kusema hivi kwa sababu ifuatayo.

Wewe umeandikka "...unapinga ujenzi wa bandari ya Bagamoyo...", halafu unaeleza habari za waChina...
Umeanza vizuri, nikajua unahoja ya msingi!
 
Magu vs sami ila wananchi tunakaz
Pic%20Layer_2021111311215721.jpg
 
Back
Top Bottom