Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 3,748
- 11,719
- Thread starter
- #121
WhyAisee,
Hapo kwenye hobby ya kusoma na mie nipo hivyo, ila hizo za misosi, movie na miziki kwa mimi ni No
WhyAisee,
Hapo kwenye hobby ya kusoma na mie nipo hivyo, ila hizo za misosi, movie na miziki kwa mimi ni No
Hapana .. ni genre tu nayoipenda😂😂😂Mhh hizi sio za kitoto
Umekuwa detective?
History, geopolitics, thrillers na world geography.. ni vitu navyopenda sana since nikiwa secondaryHatari sana mwanangu
Kuna kitu nadhani tunashare ila anyway ila nimependa sana kakaHistory, geopolitics, thrillers na world geography.. ni vitu navyopenda sana since nikiwa secondary
Mkuu,huwezi ukasoma vitabu halafu ukabaki kama ulivyo kamwe. Vitabu vina faida nyingi sanaa,hata kama havikufanyi kuwa Bakhressa au MO. Faida bado ipo.Kama unasoma na ujuzi ama weredi unaoupata katika majarida unakusaidia kutoboa kimaisha safi endelea lakini kama ni tofauti basi huna tofauti yoyote na sisi ambao lazima tupitie bar kuchangamsha ubongo kila siku jioni huku tukipata mziki kwa mbaliii
Sio lazima uwe defective ndo usome,ni kwa ajili ya wote. Kuna maujanja fulani hivi unayapata humo huyapati popote,sio poa.Mhh hizi sio za kitoto
Umekuwa detective?
Vinakuondolea Hali ya kutu kichwaniMkuu,huwezi ukasoma vitabu halafu ukabaki kama ulivyo kamwe. Vitabu vina faida nyingi sanaa,hata kama havikufanyi kuwa Bakhressa au MO. Faida bado ipo.
Asante mkuuBasi unaakili nyingi kuwa tu na hamu ya kupenda kusoma ni kiashiria tosha
Ntatafuta hivyoSio lazima uwe defective ndo usome,ni kwa ajili ya wote. Kuna maujanja fulani hivi unayapata humo huyapati popote,sio poa.