Mimi na mke wangu kiroho safi tunaenda kuachana rasmi

Ni dini tu ama kuna jingine....nawafaham masela wangu ambao wameoa dini tofauti (sio dhehebu) na huwezi gundua hadi uambiwe, watoto wapo secondary saizi Hata mjumbe wa mtaa wangu ni dini tofauti na mke wake. Huenda unatatizo
 
Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee

Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake

Ahsanteni.
Siku moja naombwa sadaka na wife, akaenda kusali kanisa la EAGT, jioni yake jamaa yangu anaesali kanisa lile akatuma message nanukuu " ndugu yangu bwana FADSON, mungu yu ndani ya nyumba yako hakika umebarikiwa

Naami nkamjibu, "it's first and last" nliwaza sana yaani tangu niwe na familia Mungu hakuwahi kuwepo ktk familia yangu hadi wife alipoamua kwenda pale,

Nlimwambia kama ulkua ukipfunga ili upande mume bora , basi ushanpata na ikibidi mambo mengine niachie mim ndo starling wa hii movie

Kuanzia hapo nkaweka msimamo yangu

Hakuwahi kwenda kule na hatujawahi kuingia ktk msuguano tena.
 
Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee

Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake

Ahsanteni.
Baada ya kuachana mtakuja gundua kumbe hamkuachana sababu yeye haamini unachokiamini.
Ipo sababu,....
 
O
Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee

Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake

Ahsanteni.
Ulifanikiwa kuachana nae? Unipe connection.
 
Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee

Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake

Ahsanteni.
Mnaachana mahaba yenu na watoto wenu sababu ya Dini za Wakoloni nwa Warabu wauza Watumwa?

Basi nyote mna shida
 
Unaachanje mbunye kisa dini? Acha ujinga, hiyo midini imeletwa ili kutugawa na kututia ujinga.
 
Back
Top Bottom