Siku moja naombwa sadaka na wife, akaenda kusali kanisa la EAGT, jioni yake jamaa yangu anaesali kanisa lile akatuma message nanukuu " ndugu yangu bwana FADSON, mungu yu ndani ya nyumba yako hakika umebarikiwaKiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
nimelia sana 😢😿Ni hivi waliahidiana akiolewa abadili dinu mke kakataa
Ni hivi waliahidiana akiolewa abadili dinu mke kakataa
Baada ya kuachana mtakuja gundua kumbe hamkuachana sababu yeye haamini unachokiamini.Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
Umelia sana??nimelia sana 😢😿
NakutafutaHongereni
machozi tu mkuu 😢😿Umelia sana??
Pole🤣🤣🤣Ohh, si una jua niko nanjilinjii.
👉Nita mjuaje mama mchungaji 😝😝
Una zingua🤣🤣😆Pole🤣🤣🤣
Nipo hapaNakutafuta
Wacha nifanye utaratibu tuhamie pahalaNipo hapa
Ulifanikiwa kuachana nae? Unipe connection.Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
Mnaachana mahaba yenu na watoto wenu sababu ya Dini za Wakoloni nwa Warabu wauza Watumwa?Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee
Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake
Ahsanteni.
Huo ni uzinzi tu, nothing else. Watu wawili mnaishi kwa misingi tofauti af mna assume ni kitu kimojaNa tuliokubaliana kilamtu na imani yake mtupe maneno mafupi
Asanteni😀😀😀
nani amemuacha mwenzake katika ujinga? It goes both ways dear.Umemuoa katika ujinga, na unamuacha katika ujinga.