Mimi na mke wangu kiroho safi tunaenda kuachana rasmi

Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee

Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake

Ahsanteni.
ni afaddhalli kuliko kusababishiana uharibifu na umauti badae 🐒
 
Kiukweli natangaza rasmi mimi na mke wangu tuko mbioni kuachana rasmi katika muunganiko wa ndoa yetu kabisa kila mtu akatafute changamoto nyingine za kimaisha aisee

Wakati namuoa tulikubaliana abadili dini lakini yeye amengeuka sana sasa tumeamua kuachana rasmi kila mtu atunze furaha yake

Ahsanteni.
Umemuoa katika ujinga, na unamuacha katika ujinga.
 
Hivi kumbe siyo kila member wa JF ni GT, yani mwanaume na akili zako unaamua kuvunja ndoa kisa dini za watu weupe?

Nakuhakikishia mtoa mada ukiendelea na akili hizo, leo utamuacha mkeo kisa dini, kesho utamkataa mtoto wako kisa kagoma kufuata dini yako.
 
Kataa Ndoa wanafurahi kuona kampeni yao inazaa matunda.

osita-osita-iheme.gif


KaziKwelikweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom