Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,255
- 48,108
Na zimemshindwa kumbe hana hata dhambi huyo ShetaniUyasemayo ni kweli kabisa maana kuna dini lukuki hapa duniani zikishindana na shetani mmoja tu miaka yote hii.
Na zimemshindwa kumbe hana hata dhambi huyo ShetaniUyasemayo ni kweli kabisa maana kuna dini lukuki hapa duniani zikishindana na shetani mmoja tu miaka yote hii.
Nani huyo tena ๐๐๐Umetanua na miguu๐ค
Mkoroga ugali pichaniNani huyo tena ๐๐๐
Ndiyo hapo sasa, yaani hizi dini hizi kwa kweli tumepigwa changa la macho.Na zimemshindwa kumbe hana hata dhambi huyo Shetani
Hapo hapo Waarab na wazungu wakituaminisha kuwa shetani (adui yetu) ni mtu mweusi na sisi tunakubali tu ujinga huu na kuwaabudu wao. Wajinga waliwao.Na zimemshindwa kumbe hana hata dhambi huyo Shetani
Yesu alikuwa ni MzunguHapo hapo Waarab na wazungu wakituaminisha kuwa shetani (adui yetu) ni mtu mweusi na sisi tunakubali tu ujinga huu na kuwaabudu wao. Wajinga waliwao.
Kaaazi kweli kweliYesu alikuwa ni Mzungu
Muhammad alikuwa Mwarabu
Nina mpango wa kwenda kutoa 5million ukweni fanya unishauri kitu...Abee!
Totoo wewe toa tu.Nina mpango wa kwenda kutoa 5million ukweni fanya unishauri kitu...
Sa hapo ndo unapofeli bana...Totoo wewe toa tu.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ We si ulisema unatafuta jimama likuoe!! Ulibadili mawazo?Sa hapo ndo unapofeli bana...
Mpaka nataka kuoa ujue mi sio toto tena ๐๐๐๐
Mbona upande wa nyuma mwiko haufiki? Hujaiva bado
Karibu sana hapa boda..Kuna nini kijana wa Nkuhungu boda... ๐ ๐ ๐ ๐ tukaribishane huyo kondoo au ngamia aliechinjwa jamani
Hujatulia kabsaaaร ... ๐ ๐ ๐ ๐Karibu sana hapa boda..
Uzuri leo mwenye nyumba karudi.
Tumechoma mbuzi
Hapa wapo jikoni wana malizia kupika pilau.
Your warmly welcome. Ukifika boda tuu usipate tabu nakufata moja kwa moja na gari ya shangazi
๐๐๐๐๐๐
TushamalizaHujatulia kabsaaaร ... ๐ ๐ ๐ ๐