Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,261
- 6,908
RATIBA YA ASUBUHI
RATIBA YA JIONI
- Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
- Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
- Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
- Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
- Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
- Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.
RATIBA YA JIONI
- Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
- Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
- Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
- Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?