Mc2nyi
Senior Member
- Nov 5, 2013
- 190
- 185
Imekuwa kawaida watoto wa Nursery na Day care shule za English Medium kuingia shuleni saa 1 asubuhi.
Ukiweka umbali wa kuchukuliwa na school bus, wengi huchukuliwa saa 12 kamili na dk chache. Hii umlazimisha mtoto kuamka saa 11 alfajiri.
Kwa nini wizara isiweke utaratibu umri wa watoto wadogo kuingia darasani saa 3 na kutoka hata saa 9, badala ya kuingia saa 1 kama watoto au watu wazima wa chuo.
Afya njema ya mtoto hujengwa kwa kulala muda mrefu zaidi.
Ukiweka umbali wa kuchukuliwa na school bus, wengi huchukuliwa saa 12 kamili na dk chache. Hii umlazimisha mtoto kuamka saa 11 alfajiri.
Kwa nini wizara isiweke utaratibu umri wa watoto wadogo kuingia darasani saa 3 na kutoka hata saa 9, badala ya kuingia saa 1 kama watoto au watu wazima wa chuo.
Afya njema ya mtoto hujengwa kwa kulala muda mrefu zaidi.