Mwasapile
JF-Expert Member
- Apr 20, 2020
- 206
- 441
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuwa je, kiwango cha mshahara ninachokipata kulingana na majukumu niliyonayo kama kinanitosha, ni baba wa mke mmoja na watoto watatu ambao kati yao wawili wameshaanza shule.
Sasa kila nikipokea mshahara let say tar 01 ikifika tar 03 huwa sina kitu mfukoni, nimefika mahala mpaka nahisi huenda nina changamoto katika matumizi yangu ya pesa lakini nikiangalia sioni popote pesa ilipoenda kwenye matumizi ambayo sio ya lazima.
Kutokana kwamba watu ni wasiri sana haswa kwenye suala la kipato anachopata, imenibidi niulize huku kwamba atleast "Take Home Salary" inatakiwa isipungue kiasi gani kwa mwezi. Ili endapo labda kiasi ninacholipwa ni chini ya hapo niparangane kutafuta ajira mahali pengine.
Sasa kila nikipokea mshahara let say tar 01 ikifika tar 03 huwa sina kitu mfukoni, nimefika mahala mpaka nahisi huenda nina changamoto katika matumizi yangu ya pesa lakini nikiangalia sioni popote pesa ilipoenda kwenye matumizi ambayo sio ya lazima.
Kutokana kwamba watu ni wasiri sana haswa kwenye suala la kipato anachopata, imenibidi niulize huku kwamba atleast "Take Home Salary" inatakiwa isipungue kiasi gani kwa mwezi. Ili endapo labda kiasi ninacholipwa ni chini ya hapo niparangane kutafuta ajira mahali pengine.