King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Hehehe, tunatengeneza automatic software (niko serious saa hizi akili zangu zimejaa chaji kama nokia ya mkebe ile). Kuna automatic menatrual cycle mtandaoni, hebu tumieni kwa.kufuatilia. Inakuonyesha green days (fertile) na red. Itapunguza na usumbufu wa kumtoa mtu dinner afu ukimchokoza kwenye gari unashika pedi. Babu nisamehe nakukomaza hehehe
mama washauri vijana, ngono nzembe zinaleta ukimwi na mimba za utotoni.
bashkiki ni kula dili na hao mahawara. Unasema wana mimba unavuta laki kadhaa za kuflash. Ahurti ule kwa kamba mamito
Duuuuuuuuuu, mbavu zangu mie!!
Ukipewa kazi hiyo lazima na wewe siku moja utakuwa fisadi tu!!
Hivyo vitabu utavitunzaje bila kuhakikisha kama mahesabu yamebalance?
Babu DC!!
mama washauri vijana, ngono nzembe zinaleta ukimwi na mimba za utotoni.
Nilipoona title ya hii thread nimekuja mbio nikataka kucomment nikasita nikasema ngoja nisome kwanza wengine wamesema nini Dark City, King'asti BADILI TABIA FP et al mmemaliza yale niliyotaka kusema...
DA
bashkiki ni kula dili na hao mahawara. Unasema wana mimba unavuta laki kadhaa za kuflash. Ahurti ule kwa kamba mamito
he he he, lazima mhesibu ahusike
hivi mhasibu si huwa anaonja onja matumizi ya pesa?
Last edited by a moderator: