Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,597
Ah mimi ninaomba msaada hapo kwenyye red........mwanaume anakutumia? Anakutumiaje?
Uchumba sugu mnautaka wenyewe, mbona kuna njia nyingi za kumfanya ajicommit bila hata kumtegeshea mimba wala madawa? Mfanye akuone wewe ni mwanamke wa pekee, mfanye aijue thamani yako na atambue kosa atakalolifanya iwapo ataachia apokonywe na mwanaume mwenzake, mfanye ajione yeye ni mwanaume mwenye bahati kuwa nawe kimapenzi. Na zaidi ya yote, mwambie MUNGU haja ya moyo wako.
Nawatakia kila la kheri wanawali wooote mnaotarajia kuwa na wenzi wenu wa maisha, na nyie wenye uchumba sugu, amkeni tokeni usingizini, tambueni thamani zenu, chukueni hatua.
Ahsante sana MwanajamiiOne,
Na-acknowledge uwepo wako hapa na mchango wako....
Concept ya kutumiwa kwa kweli haijatua kichwani mwangu,
Nitahitaji refresher kozi ili nisaidiwe..
Babu DC!!
Last edited by a moderator: