Mimba bandia zaingia nchini

Mimba bandia zaingia nchini

Niletee ya miezi mitatu nile nile hela kisha niseme imetoka🤣🤣🤣.

Ila hawa wanaume wa siku hizi ukimwambia una ujauzito unakuwa kama umemnyegesha na vile inakuwa ya moto kila siku anataka papuchi. Kudakwa nje nje.
Ahaaa halafu Ile miezi mitatu ya mwanzo inakuwa Moto hatariii
Nimemiss Sana mimba
 
Yanini kujitesa unasema tu kwa mdomo unaenda kwa nesi kabla hujasema unampa ten anakupa matokeo kuwa wewe ni mjamzito . Basi unakula kula pesa ikifika mi 4 inapotaka kuonyesha unasema imetoka basi tena siku ya hedhi yako
 
Back
Top Bottom