Millard Ayo Unaboa Kinoma

Millard Ayo Unaboa Kinoma

Joseph Msami alimshauri Milard Ayo kwenda shule form four bado ni elimu ndogo hakumuelewa sasa mtaelewa kwa vitendo maana ya Profesinalism.

Anaekelwa na Salim Kikeke anapotangaza taarifa ya habari kwenye BBC swahili saa tatu usiku na anyooshe kidole hapa nimuone.

Nimekumbuka hii kitu mpwa aliisema jamaa kwenye mkasi yalikuwa maneno nkuntu
 
Nimebakiwa na Sports Xtra tu pale wote waliobaki ni mazuzu hasa hasa wale wazee wa majungu hapa mjini kila kitu wanajua wao...... Jahazi lililozama tayari
 
Nielewe vzur kwanza...usipoisikiliza kwa muda mreeefu let say 3 years ni sawa na kama hujawahi kuisikilza maana programme nyng hata baadhi ya presenter may be watakiwa hawapo,nlimaanisha hvyo. Pili ubora wa radio station unapimwa na mini ndugu?

wewe kama nani sebastian maganga?
 
Nafahamu mkuu......lakini Choice hii naifananisha na Clouds ile ya akina Jimmy Kabwe .....Clouds ya sasa inasikilizwa kwavile ushindani ni mdogo .....lakini ikija radio serious .....tutaisahau kabisa .........

E-FM....pale kawe alipohamia Maulid wa Kitenge
 
Milad ayo pimbi kabsaa anatuaibisha watu wa chuga maneno ya kiswahil sana na ngoja atapata kiboko yake baada ya kipind kukosa mvuto

Bangi inavutwa kwenye kivuli na siyo kwenye jua kali kama unavyo fanya wewe!
 
Hata mimi hawa jamaa wamenipelekea kuwa selective sana wa kusikiliza vipindi vyao..mimi nikishasikiliza PB, LT, XXL, DHOW, AMPLIFAYA, ALA ZA ROHO, nachapa zangu usingizi till next day.
 
nilimpenda tu ambavo hakulipa promo lile bifu kati ta waniger na tz
 
Na support, I am a good listener wa clouds FM, yaani cjui lakini ndio redio pekee ninayo sikiliza. Lakini for sure inaanza loose taste especially hiki kipindi cha amplifier, ni kuanzia saa moja mpaka saa tatu usiku. Lakini cha kushangaza more than ONE HOUR NA ROBO ni playlist tu(nyimbo) 15 min matangazo alafu only 30 mins ndio hzo habari kumi. Na nyingi utasikia Uganda mara Kenya of which kama mtu unasikiliza redio zao au unfollow they social media basi ni kama repetition. HAKUNA EXCLUSIVE/ FRESH NEWS , Millard akiwa south africa basi tunapewa habari karibia zote za huko tu. Haipiti siku mbili bila taarifa za diamond, na leo natabiri habari ya kwanza utasikia kama c kupokelewa na limo kwa diamond huku UG na zari basi yaliyojiri msiba wa aisha
 
nilimpenda tu ambavo hakulipa promo lile bifu kati ta waniger na tz

Ni lini kuliwahi kuwa na beef kati ya Wanigeria na Wabongo?

Yani huo ujinga wenu wa Instagram ndio mnataka kuingiza jina la nchi? Kwa nini usiseme tu ni Diamond na wapambe wake?
 
Back
Top Bottom