Millard Ayo Unaboa Kinoma

Millard Ayo Unaboa Kinoma

Ushindani wa radio Bongo ni mdogo mno.........hatuna watangazaji wabunifu zaidi ya kuigana .....alafu hapo Clouds siku hizi matangazo imekuwa zaidi ya kero .......unaweza kutoka Posta hadi mwenge ni matangazo tu ..........alafu hata kipindi cha Millard walau unaweza kuwa makini anapozungumza lakini muda anaotumia kuzungumza au kufanya mahojiano ni mdogo mno........kipindi kimejaa matangazo ......muziki wa back to back hadi inaboa ...........

lazima ajitahidi kipindi kiwe busy kidogo ........kwa mahojiano yanayohusu stori zake ........lakini pia DJ awe na muda wa kutosha kupiga muziki ........mtu kama DJ Too Short akipewa nafasi kila baada ya Millard kuzungumza kipindi kitachangamka ..........sasa hivi tunawasikiliza sababu ya ushindani mdogo sana wa radio nyingine .....huu ndio ukweli lakini ubora wa vipindi vingi Clouds umeshuka sana .......radio nyingine ndio kabisaaa ni copy and paste .......

Choice fm ndio radio bora kwasasa .....tatizo ipo kwenye frequency zetu zileeeee ..............
 
Ushindani wa radio Bongo ni mdogo mno.........hatuna watangazaji wabunifu zaidi ya kuigana .....alafu hapo Clouds siku hizi matangazo imekuwa zaidi ya kero .......unaweza kutoka Posta hadi mwenge ni matangazo tu ..........alafu hata kipindi cha Millard walau unaweza kuwa makini anapozungumza lakini muda anaotumia kuzungumza au kufanya mahojiano ni mdogo mno........kipindi kimejaa matangazo ......muziki wa back to back hadi inaboa ...........

lazima ajitahidi kipindi kiwe busy kidogo ........kwa mahojiano yanayohusu stori zake ........lakini pia DJ awe na muda wa kutosha kupiga muziki ........mtu kama DJ Too Short akipewa nafasi kila baada ya Millard kuzungumza kipindi kitachangamka ..........sasa hivi tunawasikiliza sababu ya ushindani mdogo sana wa radio nyingine .....huu ndio ukweli lakini ubora wa vipindi vingi Clouds umeshuka sana .......radio nyingine ndio kabisaaa ni copy and paste .......

Choice fm ndio radio bora kwasasa .....tatizo ipo kwenye frequency zetu zileeeee ..............

Choice fm n radio mama ya clouds fm...hata baadhi ya watangazaji wanashare...
 
Choice fm n radio mama ya clouds fm...hata baadhi ya watangazaji wanashare...

Nafahamu mkuu......lakini Choice hii naifananisha na Clouds ile ya akina Jimmy Kabwe .....Clouds ya sasa inasikilizwa kwavile ushindani ni mdogo .....lakini ikija radio serious .....tutaisahau kabisa .........
 
Nafahamu mkuu......lakini Choice hii naifananisha na Clouds ile ya akina Jimmy Kabwe .....Clouds ya sasa inasikilizwa kwavile ushindani ni mdogo .....lakini ikija radio serious .....tutaisahau kabisa .........

Hahaha ofcoz mkuu...me ni mdau wa clouds radio...nachoona uhuru kwa watangazaji wao umekuwa too much...ndo maana haya yanatokea.
 
umelazimishwa kusikiliza?

Acha hizo wewe, kuna mahali inafika watu wanajisahau na sisi Kama wasikilizajii tunawajibu wakizungumzaa na kutoa ushaurii ili anapopata awezee kujirekebishaa!
 
Yaani watu niwazito kuelewa sijui tatizoo nini? Ila itafika sehem nazani watakuwa waelewa
 
Ushindani wa radio Bongo ni mdogo mno.........hatuna watangazaji wabunifu zaidi ya kuigana .....alafu hapo Clouds siku hizi matangazo imekuwa zaidi ya kero .......unaweza kutoka Posta hadi mwenge ni matangazo tu ..........alafu hata kipindi cha Millard walau unaweza kuwa makini anapozungumza lakini muda anaotumia kuzungumza au kufanya mahojiano ni mdogo mno........kipindi kimejaa matangazo ......muziki wa back to back hadi inaboa ...........

lazima ajitahidi kipindi kiwe busy kidogo ........kwa mahojiano yanayohusu stori zake ........lakini pia DJ awe na muda wa kutosha kupiga muziki ........mtu kama DJ Too Short akipewa nafasi kila baada ya Millard kuzungumza kipindi kitachangamka ..........sasa hivi tunawasikiliza sababu ya ushindani mdogo sana wa radio nyingine .....huu ndio ukweli lakini ubora wa vipindi vingi Clouds umeshuka sana .......radio nyingine ndio kabisaaa ni copy and paste .......

Choice fm ndio radio bora kwasasa .....tatizo ipo kwenye frequency zetu zileeeee ..............
Hoja yako ni ya kijinga, yaani wasipige matangazo? halafu wafanyakazi wa clouds utakuwa unawalipa wewe?
 
Joseph Msami alimshauri Milard Ayo kwenda shule form four bado ni elimu ndogo hakumuelewa sasa mtaelewa kwa vitendo maana ya Profesinalism.

Anaekelwa na Salim Kikeke anapotangaza taarifa ya habari kwenye BBC swahili saa tatu usiku na anyooshe kidole hapa nimuone.
 
Anaangalia upepo unapovuma.....
 
Mi nasikilizaga yuhedi na sudi brown japo anaboa nae kimtindo
 
Back
Top Bottom