Ni wavunja Sheria wapi umewakubali zaidi Mawinguni?

Ni wavunja Sheria wapi umewakubali zaidi Mawinguni?

Ngareroo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2019
Posts
2,163
Reaction score
2,609
Habari za muda huu wakubwa. I hope mko fresh, Eeh bhana Jana ya tarehe 20 mwezi wa4 2020 ambayo ilikua ni siku ya kuvuta bangi duniani, Good weeda smoke Dadiyeeh in da world.

Iyo siku ya Jana Clouds Media Group Waliamua kufanya kitu cha kibunifu baada ya muda mrefu kukwambia hutojutia, walianza asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast kwa kuvunja sheria ya kipindi na kuanzisha kipindi chao wenyewe,hii ni baada ya Watangazaji Kapiteeeeiiin Gardner G Habash wa Jahazi, Triple P poor people president, AD+ Adam Mchomvu wa XXL na Soso Fresh, Alex Luambano wa Sports Xtra, Jose Mara wa Leo tena, Prisca Kishamba na DJ Sinyorita ku'run show lao wenyewe kuanzia saa1 asubuhi hadi saa4..

Muda wa Leo tena ambao ni saa4 hadi 7 mchana ulivamiwa na Mamy Baby wa XXL na Top20, George Bantu wa Jahazi, Kotinyo wa Sports Xtra, Soudy Brown wa SHILAWADU & XXL na DJ D Ommy..

Alaf Mr.Countdown Millard Ayo wa Amplifier, Cza wa Power breakfast, Mbwiga wa Sports Extra na Husna Abdul wa Leo tena na DJ Too Short,walivunja sheria za XXL na kuanzisha pindi lao..

Boooooh! Honi la Jahazi lilizimwa na Wajuba wa5, Bdozen, B12, Twangala Twizzy toka XXL, Reuben Ndege aka Ncha kalih, Hamis Dakota delavida aka Abracadabra, Sam Sasali aka mchungaji toka Power breakfast na Clouds 360, Yahya Mohammed aka Mkazuzu toka Sports Extra na DJ Scratch designer.

Saa1 hadi 3 muda wa Amplifier ulivamiwa na Masoud Kipanya KP wa PB,Ghea Habib wa Leo tena, Perfect Crispin wa XXL Edigar Kibwana wa Sports Xtra na James Tupatupa na DJ Feruuh..

Sports Xtra ilisalia vile vile haikuvunjiwa sheria,,lakini Ala za Roho ilivunjiwa sheria na Meena Ally wa XXL kama sio Amplifier, Mussa Hussein Mwana DSM wa Leo tena,Dr.Issac Maro wa Njia panda,Shaffih Dauda wa Sports Xtra na DJ Zero ambao wali'run show kwa masaa12 hadi Leo saa4 asubuhi.

Kiukwel nimeskiliza vipindi vyote, kuna vipindi ambavyo watangazaji hawana Chemistry kabisa kutokana na hawajawahi kufanya kazi katika kipindi kimoja, pia baadhi ya vipindi kuna presenters wanaongea zaidi kuliko wengine mfano Meena Ally na Mussa Hussein walikua wanamficha Dr. Isaac Maro maana sio muongeaji, yaani kama hayupo. Pia Cza alikua anamfanyia sana interview mbwiga huku maswali mengine yakiwa hayana ulazima ili tu wacheke.

On my side pindi ambalo limekaa mkao ni Wajuba in the Building (Bdozen,Dakota,Sam Sasali,Ncha kalih na Mkazuzu)Twangala kama Main host mic number moja ameweza kuwa'control wenzake (Co hosts) vizuri na Chemistry imeonekana ipo between em' alaf wanafata kina Gardner, Mchomvu,Jose Mara,Kishamba nk..

Ebu nambie kwa upande wako ni mjengo upi Umeuelewa?(4 Clouds Listeners Only)

@NgarenaroBoy.
 
Kina dozen sijawasikia bado ila hapo kwa cza umesema ukweli. Hao akina bantu ndio most boring group.
Salute kwa cmg ,sasa sijui redio nyingine zitasikilizwa saa ngapi kwa maubunifu yenu hayo.
Sikiliza muda huu kina Dozen wako hewani saa4 hadi 7
 
Naona wanazingua sana waache tu mambo yalivyokuwa tangu zamani

Hila wakiendelea hivi wasafi watakuwa ndo wameizika.
Creativity Bablai,,ulishawahi kuwaza kitu kaa iki kuja kutokea mawinguni?..acha wafanye ila sidhani kama wataendelea.
 
Hii kitu walishafanyaga pia mwaka jana.

Ratiba zangu huwa kama ifuatavyo za kusikiliza radio.

Asubuhi Sport Arena wasafi
Mchana XXL clouds.

Baada ya hapo ni hadi jioni nasikiliza amplifier au Sport court.
Kwangu huo utaratibu naona wanazingua tu.
 
Sijui kwanini, nikisikiliza radio mara nyingi huwa nasikia presenters wanapiga story tu na makelele. Ni kama kijiweni tu,
Halafu utakuta mtu yupo bongo anapiga simu wasafi FM/Cloudz FM kuishauri Arsenal🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Habari za muda huu wakubwa. I hope mko fresh, Eeh bhana Jana ya tarehe 20 mwezi wa4 2020 ambayo ilikua ni siku ya kuvuta bangi duniani, Good weeda smoke Dadiyeeh in da world.

Iyo siku ya Jana Clouds Media Group Waliamua kufanya kitu cha kibunifu baada ya muda mrefu kukwambia hutojutia, walianza asubuhi kwenye kipindi cha Power breakfast kwa kuvunja sheria ya kipindi na kuanzisha kipindi chao wenyewe,hii ni baada ya Watangazaji Kapiteeeeiiin Gardner G Habash wa Jahazi, Triple P poor people president, AD+ Adam Mchomvu wa XXL na Soso Fresh, Alex Luambano wa Sports Xtra, Jose Mara wa Leo tena, Prisca Kishamba na DJ Sinyorita ku'run show lao wenyewe kuanzia saa1 asubuhi hadi saa4..

Muda wa Leo tena ambao ni saa4 hadi 7 mchana ulivamiwa na Mamy Baby wa XXL na Top20, George Bantu wa Jahazi, Kotinyo wa Sports Xtra, Soudy Brown wa SHILAWADU & XXL na DJ D Ommy..

Alaf Mr.Countdown Millard Ayo wa Amplifier, Cza wa Power breakfast, Mbwiga wa Sports Extra na Husna Abdul wa Leo tena na DJ Too Short,walivunja sheria za XXL na kuanzisha pindi lao..

Boooooh! Honi la Jahazi lilizimwa na Wajuba wa5, Bdozen, B12, Twangala Twizzy toka XXL, Reuben Ndege aka Ncha kalih, Hamis Dakota delavida aka Abracadabra, Sam Sasali aka mchungaji toka Power breakfast na Clouds 360, Yahya Mohammed aka Mkazuzu toka Sports Extra na DJ Scratch designer.

Saa1 hadi 3 muda wa Amplifier ulivamiwa na Masoud Kipanya KP wa PB,Ghea Habib wa Leo tena, Perfect Crispin wa XXL Edigar Kibwana wa Sports Xtra na James Tupatupa na DJ Feruuh..

Sports Xtra ilisalia vile vile haikuvunjiwa sheria,,lakini Ala za Roho ilivunjiwa sheria na Meena Ally wa XXL kama sio Amplifier, Mussa Hussein Mwana DSM wa Leo tena,Dr.Issac Maro wa Njia panda,Shaffih Dauda wa Sports Xtra na DJ Zero ambao wali'run show kwa masaa12 hadi Leo saa4 asubuhi.

Kiukwel nimeskiliza vipindi vyote, kuna vipindi ambavyo watangazaji hawana Chemistry kabisa kutokana na hawajawahi kufanya kazi katika kipindi kimoja, pia baadhi ya vipindi kuna presenters wanaongea zaidi kuliko wengine mfano Meena Ally na Mussa Hussein walikua wanamficha Dr. Isaac Maro maana sio muongeaji, yaani kama hayupo. Pia Cza alikua anamfanyia sana interview mbwiga huku maswali mengine yakiwa hayana ulazima ili tu wacheke.

On my side pindi ambalo limekaa mkao ni Wajuba in the Building (Bdozen,Dakota,Sam Sasali,Ncha kalih na Mkazuzu)Twangala kama Main host mic number moja ameweza kuwa'control wenzake (Co hosts) vizuri na Chemistry imeonekana ipo between em' alaf wanafata kina Gardner, Mchomvu,Jose Mara,Kishamba nk..

Ebu nambie kwa upande wako ni mjengo upi Umeuelewa?(4 Clouds Listeners Only)

@NgarenaroBoy.
Aisee kumbe nilimiss vingi jana. Binafsi huwa nawakubali.:
1 kp
2 ppp(Adam)
3 mwana Dsm
4 fredwa ( sijui yupo wapi maana sijamsikia kitambo)
5 PJ
Yaan hawa hata wakae studio week nzima. I swear naungana nao full time.


Sent using myLG leon
 
Aisee kumbe nilimiss vingi jana. Binafsi huwa nawakubali.:
1 kp
2 ppp(Adam)
3 mwana Dsm
4 fredwa ( sijui yupo wapi maana sijamsikia kitambo)
5 PJ
Yaan hawa hata wakae studio week nzima. I swear naungana nao full time.


Sent using myLG leon
Wako vizuri sana,kama Mussa Hussein yuko vizuri sana katika kujenga hoja,,ila hujachelewa coz ata Leo utaratibu Huo unaendelea
 
Hii kitu walishafanyaga pia mwaka jana.

Ratiba zangu huwa kama ifuatavyo za kusikiliza radio.

Asubuhi Sport Arena wasafi
Mchana XXL clouds.

Baada ya hapo ni hadi jioni nasikiliza amplifier au Sport court.
Kwangu huo utaratibu naona wanazingua tu.
Oooh..!!Ubaoni EFM huskilizagi mkuu?
 
Back
Top Bottom