Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
milipuko inayodhaniwa kuwa ni ya mabomu inaripuka sasa hivi maeneo ya Kibamba.
Umeme umekatika na hali ni ya wasiwasi...
Mlipuko ni wa 4 sasa.
Nje manyunyu ya Mvua yanadondoka huku kukiwa hakuna ripoti kamili.
Maeneo ya Karibu kuna kambi ya jeshi...
the sagga continua...
Umeme umekatika na hali ni ya wasiwasi...
Mlipuko ni wa 4 sasa.
Nje manyunyu ya Mvua yanadondoka huku kukiwa hakuna ripoti kamili.
Maeneo ya Karibu kuna kambi ya jeshi...
the sagga continua...