Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,491
- 1,822
Mimi na ndugu zangu tumepatwa na hofu kubwa milio ilisikika karibu kabisa na nyumbani, ila watu niliowasiliana nao wanasema ni wanajeshi wapo mazoezini..
Mimi nipo maeneo ya Luguruni sikusikia kitu ila jamaa kanipigia simu juu ya mabomu haya nimeamka hakuna kinachoendele narudi kuvuta shuka, kwani ni maeneo gani hasa ama ni Transforma??!!