Milipuko Mikubwa yarindima Kibamba...

Milipuko Mikubwa yarindima Kibamba...

Mwanadamu anapojitolea kutoa habari hata kama ni ya Kizushi sisi wasomaji kazi yetu ni kuzifanyia kazi sio kumtukana mtoa habari endapo zimekosewa wewe msomaji kazi yako ni kumelimisha mtoa habari unapotukana hujaisadia jamii inayosoma habari hiyo mfano huyo kasikia milipuko anaijulisha jamii wenye ndugu karibu tufanye utafiti juu ya hilo mwenzetu kasikia mlio alafu akae kukujulisha unaelekea wapi wewe unayetukana unaweza ukastamili????????????? binafsi nakupongeza hata kama ni habari za uongo tuzifanyie kazi.
unastakhamili uzushi?
 
Let me see what's going on 45531_125939637454123_100001142619504_135361_6648047_n.jpg
 
Matatizo ya raia kujikatia viwanja maeneo ya mapoli ya mazoezi ya kijeshi.
 
CONFIRMED NEWS.
Usiku wa kuamkia leo nilikuwa msibani maeneo ya Kiluvya.
Ilipojiri mida ya saa 6 usiku hali ya wasiwasi ilianza kutanda kutokana na mlipuko wa kwanza kusikika kwa kishindo ukilipuka.
Muda mchache baadae ukaripuka mlipuko mwingine mkubwa zaidi ya ule wa mwanzo kiasi kufanya watu kuwa na wasiwasi zaidi.
Haikuwa radi wala hakikuwa ni kishindo cha transformer kulipuka bali kilikuwa ni kishindo mithiri ileile ya vishindo vilivyotokea Gongo la mboto kwani milipuko ile naikumbuka vizuri kwani nilikuwapo kule.

Baada ya kupita nusu saa ama dakika ishirini ukalipuka mlipuko mwingine, kitu kilichopelekea watu watoke nje na kuwa tayari kwa kuokoa nafsi zao.
kisha mlipuko wa mwisho uliosikika ulikuwa mkubwa sana kiasi kwamba kuta za nyumba na ardhi ziliachwa zinatetemeka.

kama kawaida yangu nilichukua simu yangu na kuingia JF ambapo nilikuta mtoa mada ameweka tayari habari hii na kama kawaida ya wachangiaji wa siku hizi wa JF wengi wamekuwa na mzaha kitu ambacho si kizuri.

Mtoa mada alieleza habari ilivyo kisha kwa kuamini kutojuwa kilichomsibu akapotea ghafla na hakuendelea na updates.
Ila kuna baadhi ya wana JF waliisikia milipuko hiyo na wakathibitisha hilo, na kuna mmoja amesomeka kuwa milipuko hiyo imesikika karibu na maeneo anayoishi kitu kilichomfanya awe na wasiwasi.
Lakini inashangaza watu wanashindwa kupata more updates toka kwa wana JF waliopo ambao wameisikia milipuko hiyo na kuiripoti hapa bali wamekaa wakimsubiri mtoa mada aje athibitishe ili waamini...shame

Inasikitisha hata kuona uongozi wa JF wanashindwa pata habari kamili za kilichotokea usiku wa kuamkia leo ni kipi haswa kutokana na kinachodaiwa kuwa ni milipuko.
JF ni mtandao mkubwa na sidhani kama unakosa mtu toka kambi ya jeshi hapo Kibamba ambaye angeweza towa details juu ya milipuko hiyo...lakini inatia kichefuchefu mpaka saa hizi kuona habari imeandikwa UNCONFIRMED.

JF ulikuwa ni mtandao wa kuthibitisha na wa uhakika wa haraka sana.
Wengi tuliukimbilia kwa habari zenye kuthibitishwa.
Lakini kwa hichi kioja cha leo ambapo milipuko imetokea saa 6 usiku lakini mpaka sasa saa 4 asubuhi na hakuna juhudi zozote toka kwa uongozi kueleza milipuko ile ilikuwa ni ya nini nashindwa kutofautisha mtandao wa JF na blog ya Le Mutuz

asante sana
 
kama muda wake wa matumizi umeisha wakayatupie Malawi kidogo
 
Mimi ni Shifta, zee la kisomali.
Ninaishi kwa Mirungi na Maji.
Napatikana Baidoa, Kismay na Mogadishu, Islii na Garitha pale Kenya, na nikiwa Dar napatikana Maeneo mbali mbali ya Kariakoo.

Huwa nachukia sana wakurupukaji wanaojishaua kuandika ushuzi hapa jamvini na wewe ukiwa ni moja wao wa hawa washambenga.

So siwezi kufumbia macho wapuuzi muugeuze mtandao huu kuwa ni kambi yenu ya kuandika ushuzi.

Nakusubiri uje tena.
kumbe ni mirungi ndio inakuongoza kuandika uharisho huu? naamini JF inajuta kukupatia hii chance you are a digrace and disappointment to this forum!
 
Back
Top Bottom