pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 883
- Thread starter
- #281
Jipange huwez jua ya Mungu ata kesho utapata32M hahahahaa mpaka 2020
Jipange huwez jua ya Mungu ata kesho utapata32M hahahahaa mpaka 2020
Ndio tunaweza kuendelea tutakachofanya ni kupiga hesabu yaan cost Evaluation kuanzia ulipo ishia hadi kumalizia mjengo kulingana na Ramani yako karibu sanaKama mtu amesha anza msingi wa kawaida. Je mnaweza kuendelea na ujenz wa ghorofa 1?
Mkuu usiwe tomaso , Nenda Ofisini kwao kajihakikishie, tapeli hawezi kuwa muwazi kama huyu jamaa, ujue jamaa kama ana import materials mwenyewe anawrza kutract faida yake kubwa kwenye mauzo ya materials,ni Hii pengine ndio strategy yake, ni kama vile unavyonunua Maji ya chupa, kimsingi muuzaji anauza chupa na sio Maji.Mill 32 tusidanganyane apa
Nina boma ambalo limekamilika,bado kuezeka na kufanya finishing,nikiwapa kazi ya kuimalizia,mnaweza mkahitaji niwalipe sh ngapi kila mwezi?Tupo Buzuruga Plaza bosi nakuomba uni WhatsApp/ au call 0763772636 karibu sana kiongoz
Sijakuelewa unataka tukufanyie finishing halafu wewe ndo utulipe kila mwenz?Nina boma ambalo limekamilika,bado kuezeka na kufanya finishing,nikiwapa kazi ya kuimalizia,mnaweza mkahitaji niwalipe sh ngapi kila mwezi?
Mkuu munanipa hamasa ya kuitafuta shekeli usiku na mchana ili niwatafute, mungu akininyooshea njia nitawatafuta mkuu.![]()
![]()
Site yetu mpya tumeanza kuijenga wiki hii ipo Arusha Moshono kiserian
Ni project ya Nyumba ya Vyumba vitatu vyote masta, jiko la kisasa, sebule, dining, store, studying room, na public toilet
Material tunazotumia
Bati msauz mgongo mpana
Tofali za block
Msingi nchi 6
Ukuta nchi 4
Tutaweka madirisha ya aluminum grade two
Gypsum body
Tiles nyumba nzima franch, Spain au China kulingana na pendekezo la mteja
Vifaa vya bomba masinki nk tunatumia vya uturuki
Garama ya ujenzi wa hii nyumba tunayoianza ni mil 54 tu
Tunafanya kazi Tanzania nzima mpaka visiwani nitaendelea ku update project za wateja wetu hapa ili muzione kazi zetu
Mungu wa mbinguni na akupe haja ya Moyo wako kiongozMkuu munanipa hamasa ya kuitafuta shekeli usiku na mchana ili niwatafute, mungu akininyooshea njia nitawatafuta mkuu.
Shukran sana mkuu na hongereni kwa kuhudumia jamii ktk mambo mazuri,.Mungu wa mbinguni na akupe haja ya Moyo wako kiongoz
Kweli asee, mana mafundi kwa kuiba sementi !! hatar sana.., hawa jamaa watatusaidia sana ikiwemo na kutoa ajira kwa vijana.What a wonderful thread! Bora mfumo huu kuliko kusumbuana na mafundi. Hongera.. Nitakutafuta karibuni mkuu
Karibu sana Ajira zitakuwepo soon maana tunafungua Tawi letu jipya yalipo hamia makao makuu Dodoma soonKweli asee, mana mafundi kwa kuiba sementi !! hatar sana.., hawa jamaa watatusaidia sana ikiwemo na kutoa ajira kwa vijana.
Asante kiongozShukran sana mkuu na hongereni kwa kuhudumia jamii ktk mambo mazuri,.