POle sana ndugu yangu maana sio mimi Nina kudanganya Bali ni wewe unaejidanganya mil 32 inatosha kabisa kukujengea nyumba ya Vyumba viwil sebule jiko store choo cha public na dining roomMill 32 tusidanganyane apa
Leta mahesabu apa blah blah za nini! Weka BOQ tuone.Labda km mabanda ya kuku sio nyumba be carefulPOle sana ndugu yangu maana sio mimi Nina kudanganya Bali ni wewe unaejidanganya mil 32 inatosha kabisa kukujengea nyumba ya Vyumba viwil sebule jiko store choo cha public na dining room
Kiwanja ni juu ya mteja material kila kitu ni juu yetu na tunatumia the best material Mfano bati za msauz, tiles China grade one au spaini,Italy, or Japan grade two choice is urs
Zaidi ya yote tutakuchorea Ramani bure kabisa na kukuandalia BOQ bure kabisa
Hahaha hivi unajua dhamani ya BOQ boss kama kwel wewe ni serious client njoo ofisini tuambie unataka nyumba ya dhamn gani? Na Ramani gani material gani? Baada ya kupata haya majibu kutoka kwako ndio unaandaliwa BOQ so elewa hii kitu sio ya kuandika bila hesabu na kila nyumba ina BOQ yake kutokana na Raman yakeLeta mahesabu apa blah blah za nini! Weka BOQ tuone.Labda km mabanda ya kuku sio nyumba be careful
Nimekupa bei bossya ghorofa moja
Nimeku inbox mkuumkuu naomba tuwasiliane DM. nilikuwa nakaribia kununua nyumba WHC ila naweza kugairi
poa poa mkuu ntakucheki sio muda nipo Mbali kidogoNimeku inbox mkuu
Asante kiongoz karibu tuijenge nchi ya viwandaDaa kaka nimeipenda sana hii threat yako, hakika ni ubunifu wa hali ya juu na kama kweli mtakuwa waaminifu kwa hakika mtapata wateja wa kutosha.
Ila nikuulize huna group la Whatsup?
Poa kiongozpoa poa mkuu ntakucheki sio muda nipo Mbali kidogo
Asante kiongoz karibuGood building plan
Nyumba hiyo ya32 m inafananaje
nami nlitaka kuuliza swali kama hilo kakaUmeme tunakufanyia wiring kila kitu ila mambo ya ununuzi wa nguzo ilo swala litamuhusu mteja maana hesabu tutakazokupigia tutakupa mchanganuo wake A to Z
Pili kuhusu maji sisi tunakuwekea system yote ya maji kila kitu wewe mteja ni wajibu wako sasa kutuma maombi Dawasco/mowasco extra wakufungie maji so sisi tutaishia kwenye kufunga system yote ya maji
Ninatumaini utakuwa umepata majibunami nlitaka kuuliza swali kama hilo kaka
group la whatsp huna ndugu uniunge?iwe rahisi kwenye mawasiliano na wateje,Ninatumaini utakuwa umepata majibu
Hapana kiongoz sinamkuu hamna group la whatsp
Sina mkuu ila kwa mtu mmoja mmoja WhatsApp atanipata kwa 0763772636 maana kila mteja anakuwa na hitaji lake karibugroup la whatsp huna ndugu uniunge?iwe rahisi kwenye mawasiliano na wateje,