Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

8ce32c57df26858592a10faede0a6a71.jpg
5b1ead5f3ae82c09e31a720fd9af1b9b.jpg
project yetu inayoendelea kwa sasa
 
e1227d32d6646186ad74fe924b67d1c3.jpg
tukiwa kazini katika project mbalimbali za one 2 one karibuni kwa ujenzi bora na Imara
 
Kwa faida ya wengi, jitahidi utuwekee picha ya hiyo mliyojenga kwa mil32 huko Kibada.
Sababu hizo picha ulizoweka sio actual ila ni plan.
Yes aweke nyumba halisi sio hiyo computerised tunataka tuone uhalisia haswaaa
 
Yes aweke nyumba halisi sio hiyo computerised tunataka tuone uhalisia haswaaa
Nilishaweka picha nyingi za halisi boss
fdda9086d4ebd3f072375c2f2822c6ac.jpg
509abedd8c8be65852750fbd6c317c19.jpg
fb6af5ca9aa80bbec44e681e34755cd9.jpg

Nyingine bado zinaendelea kujengwa zilizomaliziwa nimeweka nyingi tu
 
Weka picha ya iyo ya mil 32 afu vp mtu akilipa iyo nusu iyo nyingne yenye 8% inatakiwa baada ya muda gani
 
pettymarcel hii ni fursa nzuri sana kwangu, nitawatafuta baada ya muda kidogo tu (si mko pia Arusha?)
 
What a wonderful thread! Bora mfumo huu kuliko kusumbuana na mafundi. Hongera.. Nitakutafuta karibuni mkuu
 
7130f6e32e7ddef235c62d60b30630b9.jpg

Karibu one2one kwa ujenzi bora na wa garama nafuu kabisa
Nyumba yako Maisha yako
 
Back
Top Bottom