TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,627
- 2,272
Hii ndio bei gani?
Hii ndio bei gani?
Hii ni gorofa ya Vyumba 5 bei mil 300Hii ndio bei gani?
It looks like my dream house ... ngoja niendelee kujaza kibubu kikijaa nitabisha hodi mkuuHii ni gorofa ya Vyumba 5 bei mil 300
Karibu sana my diaIt looks like my dream house ... ngoja niendelee kujaza kibubu kikijaa nitabisha hodi mkuu
Uuwiii....nafwaaa mkuu...ngoja niongeze juhudi sooon will get thereKaribu sana my dia
Kuna simple kama hii kwa mil Mia moja
Naomba usife kabla ujajenga TATIANA hahaha maana naona umeandika uuwiii ...nafwaaaUuwiii....nafwaaa mkuu...ngoja niongeze juhudi sooon will get there
Hahahahahaaa...no sifi mkuu,ila napata motisha ya kufanya kazi kwa bidii na kutunza pesaNaomba usife kabla ujajenga TATIANA hahaha maana naona umeandika uuwiii ...nafwaaa
Mungu wa mbinguni na akubarikiHahahahahaaa...no sifi mkuu,ila napata motisha ya kufanya kazi kwa bidii na kutunza pesa
Karibu sanMungu wa mbinguni na akubariki
Amen.....nMungu wa mbinguni na akubariki
Karibu sana mlakon tukujengee with minimum cost with quality Materials usimamizi juu yetu wewe kazi yako ni kupokea nyumba iliyopo tayarKweli asee, mana mafundi kwa kuiba sementi !! hatar sana.., hawa jamaa watatusaidia sana ikiwemo na kutoa ajira kwa vijana.
Hakuna kiini macho nyumba ni kweli na wengine humu ndani wameshajengewa na wewe kama una muda waweza kuja kutembelea project zetu ili ujiridhisheJamani hiyo nyumba ni ya 32mln kweli au kiini macho?
Unajua maneno uumba mkuu so ukijinenea wewe ni kapuku utakuwa kapuku mwanzo mwisho so usijinenee maneno mabayaMakapuku tunajipitia MBAAAALI.Forum za watu hizi
Rennovation mnaweza fanya kwa bei gani? Nipe estimates za nyumba ya vyumba vitatu ikiwa nitataka mfumue paa lote apigwe msauzi,gypsum pamoja na kumwaga tiles ndani plus alluminium windows?Hata kama una nyumba yako ungependa tukufanyie Renovation, kama una Nyumba yako haijamaliziwa na ungependa tukusaidie kumalizia karibu tuyajenge WhatsApp 0763772636
Unajua maneno uumba mkuu so ukijinenea wewe ni kapuku utakuwa kapuku mwanzo mwisho so usijinenee maneno mabaya