pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
- Thread starter
- #301
,
Thank u EmanuelShukran sana mkuu na hongereni kwa kuhudumia jamii ktk mambo mazuri,.
KaribuThank u Emanuel
Acha Tindikali hizo nimesema ni nyumba tulizojenga samples of our projects so kuna za mil 32, 54, 74 na kuendelea so hakuna picha ya nyumba ya mil 74 niliyokuonyesha na kusema tumejenga kwa mil 32 by the way usiwe mvivu wa kusoma ukipitia huu uzi utaona kila nyumba tuliojenga nimeweka ufafanuzi from material ukubwa hadi beiMnatumia picha ya nyumba za 74M, mnatangaza ya nyumba ya 32M. Matapeli wakubwa!
Ofizi zipo Dar, Mwanza na Arusha ila Huduma inatolewa popote Tz atakama hakuna ofisiVery interesting idea naomba ufafanuzi kwa mikoa ambayo hujaoredhesha kama mnamiliki ofisi huko!
Hii ni Nyumba ya Four bedrooms tumejenga kwa mil 74 tu
Hiki kijumba hizo ni dharau mkuu kama wewe unaona hicho ni kijumba sisi tunaona hiyo ni nyumba endelea kupitia kwenye post utakutana na ya mil 32 kama ulivokutana na hiki cha mil 74
Hiki kijumba mil 74.
Cha mil 32 kitakuwaje?
Weka picha
Ndio mkuu baada ya kulipa ile 50% ya awali hiyo iliyobakia utalipa kidogo kidogoSi wamesema malipo ni kidogo kidogo?
Karibu sanaGood good
Yap after 50%Si wamesema malipo ni kidogo kidogo?
Thank u broShukran sana mkuu na hongereni kwa kuhudumia jamii ktk mambo mazuri,.
Ndo nini hii???