Apartment mpya ya kisasa inapangishwa – Makongo Juu

Apartment mpya ya kisasa inapangishwa – Makongo Juu

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,139
Reaction score
366
Unatafuta nyumba yenye ubora, faragha na mazingira tulivu? Hii ni fursa yako!

Sifa za apartment:
  • Vyumba 2 vya kulala, vyote En-suite
  • Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha
  • Eneo la chakula (Dining Area) la kisasa kwa ajili ya familia
  • Jiko zuri lenye nafasi ya kutosha
  • Muonekano wa kisasa wenye mvuto wa ndani na nje
  • Maegesho salama na yenye nafasi ya kutosha
  • Mazingira tulivu na salama kwa maisha ya familia

Kodi: TSh 1,500,000 kwa mwezi

Usichelewe! Apartment za ubora huu katika eneo la Makongo Juu hupata wapangaji kwa haraka.

Kwa maelezo zaidi au kupanga muda wa kutembelea:
0755 312 233

 
Dar ya sasa haina nyumba za kisasa. Nyumba za kisasa zipo Iyumbu Dodoma. Kama hutaki acha.

Uzuri ni kwamba wenye nyumba zisizo za kisasa Dar ndo wenye nyumba za kisasa Iyumbu Dodoma!
Haya tulinganishe sasa

Iyumbu Dodoma

1784383512974.png



Avic Town, Kigamboni

1784383701044.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom