Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Miliki Nyumba mpya kwa milion 32 tu

Mi naelewa vipimo vya futi vile, lets say 10*10 au 10*12 au 8*10 ila hio ya 4.5*4.5 nikahisi itakuwa banda la kuk
Hapana kaka wewe vipimo vyako si locally hivi ni kwa square meta ni kubwa sana
 
Mkuu kuwa mkweli acha utapeli umeambiwa onesha nyumba ya milioni 32 unaonesha zingine ila km ni nyumba zile karibu ya mwasonga ndio unasema nyumba zile kota ule ni uchafu mkuu.
Nimeshakuonyesha mkuu pia usipende kuwa mwepesi kuita wenzio matapeli ili hali huna ushaidi
 
Nyumba ya vyumba 3 inakuwa shs ngapi?
Mil 54 best quality bati ya kigae, tiles za spain, Italy or France grade two na ukihitaji za China ni grade one tutakupa ofa ya Raman na kukuandalia BOQ bure kabisa karibu kiongoz
 
Tunafanya pia finishing kwa majengo ambayo hayajamaliziwa pia tunafanya ukarabati wa majengo yaliyochoka karibun WhatsApp 0763772636
 
Tafadahli mimi niko mwanza je nitawapateje of coz nataka nyumba maeneo ya nyasaka buhongwa au machinjioni tafadhali jibu kwa mawasiliano zaidi
 
Tafadahli mimi niko mwanza je nitawapateje of coz nataka nyumba maeneo ya nyasaka buhongwa au machinjioni tafadhali jibu kwa mawasiliano zaidi
Tupo Buzuruga Plaza bosi nakuomba uni WhatsApp/ au call 0763772636 karibu sana kiongoz
 
Karibuni wapendwa kesho ofisi zetu zote zitakuwa wazi kwa watakaopenda kuja kututembelea kuona na project zetu mnakaribishwa kabisa karibu tukujengee Nyumba ya Ndoto yako
 
ya ghorofa moja
Mil 110
1ce2b688eafca0c40f739a75e92839ae.jpg

Sample ya gorofa ya floor moja bei mil 110 karibu
 
Karibuni sana ofisi zetu zote zipo wazi jumatatu hadi jmos saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi na moja jioni
 
Vinaudogo gan kiongoz kama chumba cha kawaida ni 3* 3? Masta ni 4.5*4.5 yaan chumba cha square almost 18?
3824d383286bd4f99ac714397c1433a2.jpg
e2227e7f4de0aed7c9ebb01efac6f45d.jpg

sasa kama Mfano hivi vinaudogo gani bosi?
Kwa vipimo hivyo mbona ni vikubwa aiseee!! Labda jamaa yetu anataka uwanja wa mpira ndani ya nyumba!! Hongereni madogo kwa kubuni kampuni ya kufanya kazi za hivyo, hii itawafungua macho vijana wengi wanao-graduate na kubaki wakililia ajira za serikali!!
 
Back
Top Bottom