Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,767
Majuzi kwenye daladala moja jijini Mwanza mtu mmoja alianza mjadala kwa kumpa sifa mkulu kwa jinsi anavyoendesha nchi na kwamba maisha yatakuwa mzuri hapo baadaye. Duh! kwa namna alivyoshambuliwa kwa hasira utadhani moto uliomwagiwa petroli. Wengi waliulza kuwa mkulu anawezaje kuharibu kwanza ndipo arekebishe baadaye?