INABIDI TU KUFANYA ULE UTARATIBU MAANA ITAKUWA HAKUNA NAMNA,POTELE MBALI.(ALLEPO)Unadhani hao wakuu watabadilika kwa namna youote hata kama Wa tz woo-o-te wakilaumu kwa kutoa mapovu mdomoni ? Hakuna kitu. Naona hali mbaya sana sana ya uchumi miaka michache tu ujao. Kama mapato ya bandari na utalii yameshuka na kwa upande mwingine misaada toka nje ni midogo sana mapato ya serikali yatapungua na inaweza hata kufika mahali ikashindwa kulipa mishahara. Likitokea hilo hakuna anayejua nini kitafuata