Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Ni kawaida kwa wadada kubeba vitu vya
kujistiri,wala siyo siku hizi.
Kama kwenye sherehe hiyo
hawakuweka tissue za kujifutia
endapo utachafuka,ulitaka afanyeji
kama siyo kutumia nyenzo yake mwenyewe?
Macho yangu mimi yanaona
mkono ukigusa toilet paper
labda kama kuna lingine nieleweshwe.
Tazama vizuri mzunguko wa toilet paper kwa nje ili uone hiyo tissue imegusana na nini - kipande cha mguu wa kuku?