Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,993
- 69,391
AiseeeeHiyo ni bunduki isiyo na usumbufu,,
AiseeeeHiyo ni bunduki isiyo na usumbufu,,
Mkuu mbona maeneo yote unayotaja nimeishi sijaona chochoteNkasi noma kuna Kirando na Kipili bila kusahau Challa.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Usiwe muongo wewe kwanza kule familia isiyo lima kupata mke ni ngumu kushinda njaa ni aibu wewe unasema wavivu daa uongo wa mchana yawezekana nawe mwanga vilevile hivi unakujua mtwara wewe jembe la kulimia kama mkono wako wavivu hata kuuza duka kwa mwezi kama huu halafu useme Katavi na Rukwa wavivu wewe vipi.wewe wasema kule ardhi nzuri halafu wenyeji ni wavivu ... sasa jitie kiherehere eti unajua kulima,,, wanakuangalia tuu utastawisha kwa sana siku ya kuvuna ....mabua matupu
Huko kote ni makambi ya wakimhizi wahutu ndiyo maeneo yao kama umeshindwa kuishi huko rudi kwenuKule Mishamo na Kanoge kabla hujafika Inyonga ndio balaa.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Wehu hao kuna watu wakulima kama huko kwanza njaa kule ni kuisoma katka magazeti ujinga tuhamna akili wote nyie...usikute kwenu mama yko au babu yko mchawi
Kama mvivu wakutafuta huwezi kuishi lakini anayejua uchumi akihama kule ni tajiri basiHuko hakufai kuishi kabisa.
Kwahiyo ndiye kakufundisha hayo yote mbona wengine hawana mmetoka nayo huko zambia mnapakazia wafipa ndiyo maana inatwa sumba (tupa)wanga(uchawi) kwahiyo ingia ukiwa safiMimi ni mfipa originaly tena asili yetu ni zambia ila sumbawanga ndo ukoo ulianzia pale baada ya babu yangu kuhamishiwa migodini huko sumbawang kutoka zambia babu yangu sio wa upand wa baba wala mama ni babu wa kweny ukoo tu mzee ni mchawi ana matukio ya ajabu sana kuja dar kwake ni kama utoke ndani uende nje
siwez weka matukio yake hadharani
mi ndo wa jina lake mikoba yake alitak nikabidhi mimi nikampinga vibaya sana
Amna kitu hapo zaidi ya story za kusadikika tu!Plenty of exaggerations.Mlioko Sumbawanga, ila siyo wa Sumbawanga, mmekaa huko muda mrefu nadhani mna tangible informations kuliko za observer wa wiki moja!
Sasa mkuu watu wanaishi vipi na huo uchawi.Kama mvivu wakutafuta huwezi kuishi lakini anayejua uchumi akihama kule ni tajiri basi
Ndiyo tukuulize wewe kalupyetoSasa mkuu watu wanaishi vipi na huo uchawi.
Sawa mama naona ushaanza majungu.Ndiyo tukuulize wewe kalupyeto
Msiwe Mnaamini vitu vya kuambiwa nendeni mkaishi na watu wa huko mtapata ukweli!! Ww unayesema kijiji cha kalundi ni sehemu ambako wachawi wamekimbilia ww ni muongo tena muongo mkubwa na unatakiw kuwaomba msamaha wanakarundi kwa kuwapa sifa isiyokuw yakwao. Mimi natokea maeneo hayo kijiji cha sintali ambacho kipo kusini mwa kalundi km8 hivi. Acheni kulopoka kuhusiana na nkasi yetu tafadhali tuheshimiane!!!Huko kuna kijiji kule Nkasi kinaitwa Kalundi, huko ni mkusanyiko wa wachawi waliotimuliwa sehem mbali mbali..ukijifanya gangwe wanakukomoa tu unaambiwa unaweza chemsha maharage wiki nzima na hayaivi: kuna siku viongozi wa serikali walikua wanahimiza mchango ujenzi wa maabara! I naambiwa kila walipokua wanatembea wanakutana na wanawake na watoto tu mbaya zaidi wakawa watu wanawacheka mwishowe wakahoji mbona wanachemka kumbe walikua uchi KWAMBA wananchi wanawaona wako uchi...Ila sumbawanga town pazuri mno kuliko hata bukoba! Lami nzuri..kumepangika..bata la kufatu!
acha hizo wewe nenda kakese kalime heka yako ya mpunga upate mtaji sio kutembeza ch...pi 2 na soksi 2 eti machingaSawa mama naona ushaanza majungu.
Ila mpunguze uchawi.
mnachimbisha watu mashimo ya vyoo usiku.
Hahahahaaa makinikia ya "kalundi, challa, kipili na kilando utayajua tu" ni jamii yako! We unajua nilifika AMA sijatoka huko? No wonder mnafuga fisi maeneo ya huko! Mbav zenu!Msiwe Mnaamini vitu vya kuambiwa nendeni mkaishi na watu wa huko mtapata ukweli!! Ww unayesema kijiji cha kalundi ni sehemu ambako wachawi wamekimbilia ww ni muongo tena muongo mkubwa na unatakiw kuwaomba msamaha wanakarundi kwa kuwapa sifa isiyokuw yakwao. Mimi natokea maeneo hayo kijiji cha sintali ambacho kipo kusini mwa kalundi km8 hivi. Acheni kulopoka kuhusiana na nkasi yetu tafadhali tuheshimiane!!!