Mikoa wa Katavi na Rukwa ni kiboko

wewe wasema kule ardhi nzuri halafu wenyeji ni wavivu ... sasa jitie kiherehere eti unajua kulima,,, wanakuangalia tuu utastawisha kwa sana siku ya kuvuna ....mabua matupu
Tanga ipi unayoisemea mkuu maana wengine wanalima sana tu na wanavuna kama kawaida.
 
Wanao kanusha habari za uchawi Sumbawanga acha wakanushe, maana lipo linalowahusu. Juzi tu nadhani kati ya mwezi wa tatu ama wa nne, afisa mtendaji alilazwa nje ya nyumba yake, yeye na familia yake yote, mbaya zaidi wote wako uchi wa mnyama, wameamka asbuhi wako nje uchi Baba, mama na watoto wa kike na kiume, halafu mnakanusha vitu ambavyo vipo. Hii nilisikia mwenyewe jamaa akiripoti kupitia radio free. Miaka nyuma nilisoma habari gazeti la mfanyakazi wakati huo, huko Sumbawanga kijana mmoja aliekua anamfukuza ng'ombe aliekua anakula mazao yaliyopandwa karibu na nyumba yao. Kitendo cha kumchapa fimbo yule ng'ombe, ile fimbo iliwaka moto pale pale. Na yeye akanza kuota mvi siku ile ile, na akawa mzee siku ile ile, mpaka akazeeka kiasi cha kuwa babu hasa siku ile ile. Na hatimae kuumwa na kufari siku ile ile. Na kisa kingine nitakiweka baadae jioni, ni visa vya kweli ambavyo huwezi vipata kwingine Tanzania ispokua Sumbawanga.
 
Huko kuna kijiji kule Nkasi kinaitwa Kalundi, huko ni mkusanyiko wa wachawi waliotimuliwa sehem mbali mbali..ukijifanya gangwe wanakukomoa tu unaambiwa unaweza chemsha maharage wiki nzima na hayaivi: kuna siku viongozi wa serikali walikua wanahimiza mchango ujenzi wa maabara! I naambiwa kila walipokua wanatembea wanakutana na wanawake na watoto tu mbaya zaidi wakawa watu wanawacheka mwishowe wakahoji mbona wanachemka kumbe walikua uchi KWAMBA wananchi wanawaona wako uchi...Ila sumbawanga town pazuri mno kuliko hata bukoba! Lami nzuri..kumepangika..bata la kufatu!
Nkasi noma kuna Kirando na Kipili bila kusahau Challa.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Hao watu wa Katavi na Sumbawanga wanauza radi bei ghali sana. Mtu akitaka radi aende Kibondo, kule radi inaanzia jero tu na unaweza kubargain pia.
Huyo aliemwambia radi elfu kumi ana njaa,nilikaa Katavi Mpanda kwa muda kidogo nilifahamiana na Mzee fulani hivi yule Mzee aliniambia Kijana ukifika wakati wa kuondoka naomba uje kwangu nikuuzie radi kwa 500 uende nazo kwenu.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
mkuu nakupa mifano ya uchawi katavi.

pale msakila kwenye kona kama unatoka uwanjani (azimio) kwenda kawajense (kompaundi, ikulu) pale wanaloga sana ndo maana ajari za ajabu ajabu kila siku

Toka hapo njoo hii nyumba baada ya kukata kona iyo iyo nyumba ya kwanza ile kila anaye ingia lazima aume shuka

kuna mitaa katavi karibu wote wanga tu, hawataki watoto wasome na wengi wao wanakuwa walevi wa kutupwa tena katika umri mdogo (kawajense namba 1 na 2)

Uliza ma askari wangapi wamekataa kazi katavi na kulowea kwenye ulevi (sio ulevi wa kawaida ule ni juju tu)
Kule Mishamo na Kanoge kabla hujafika Inyonga ndio balaa.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Wanao kanusha habari za uchawi Sumbawanga acha wakanudhe, maana lipo linalowahusu. Juzi tu nadhani kati ya mwezi wa tatu ama wa nne, afisa mtendaji alilazwa nje ya nyumba yake, yeye na familia yake yote, mbaya zaidi wote wako uchi wa mnyama, wameamka asbuhi wako nje uchi Baba, mama na watoto wa kike na kiume, halafu mnakanusha vitu ambavyo vipo. Hii nilisikia mwenyewe jamaa akiripoti kupitia radio free. Miaka nyuma nilisoma habari gazeti la mfanyakazi wakati huo, huko Sumbawanga kijana mmoja aliekua anamfukuza ng'ombe aliekua anakula mazao yaliyopandwa karibu na nyumba yao. Kitendo cha kumchapa fimbo yule ng'ombe, ile fimbo iliwaka moto pale pale. Na yeye akanza kuota mvi siku ile ile, na akawa mzee siku ile ile, mpaka akazeeka kiasi cha kuwa babu hasa siku ile ile. Na hatimae kuumwa na kufari siku ile ile. Na kisa kingine nitakiweka baadae jioni, ni visa vya kweli ambavyo huwezi vipata kwingine Tanzania ispokua Sumbawanga.
Kule Nkasi Sumbawanga kata ya Kipili hii kata ipo karibu na ziwa Tanganyika kuna Mzee mmoja aliuza kiwanja kwa Kijana fulani baadae yule Kijana akataka aanze ujenzi kwa kununua tofali. Kijana akamfuata mwenyeji wake yule Mzee kumuuliza kuhusu usafirshaji wa hizo tofali Mzee akamwambia Kijana tukubalie bei halafu wewe nenda zako utakuta Tofali zako zote hapa kiwanjani kwako wakati wanakubaliana hayo ilikuwa in saa12 jioni. Kesho yake asubuhi saa1 Kijana akarudi kwa Mzee kumpa hela ya usafirishaji kwenda anashangaa kukuta Tofali zote zipo pale kiwanjani. Kubwa zaidi lililomshtua ni kusikia wanakijiji wakilalamika kuwa usiku hawakulala na wote wameamka na Vumbi la Mchanga wa tofali kuanzia wanaume mpaka wakina mama kwa maana hiyo Mzee alibebesha kijiji kizima Tofali.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Wanao kanusha habari za uchawi Sumbawanga acha wakanudhe, maana lipo linalowahusu. Juzi tu nadhani kati ya mwezi wa tatu ama wa nne, afisa mtendaji alilazwa nje ya nyumba yake, yeye na familia yake yote, mbaya zaidi wote wako uchi wa mnyama, wameamka asbuhi wako nje uchi Baba, mama na watoto wa kike na kiume, halafu mnakanusha vitu ambavyo vipo. Hii nilisikia mwenyewe jamaa akiripoti kupitia radio free. Miaka nyuma nilisoma habari gazeti la mfanyakazi wakati huo, huko Sumbawanga kijana mmoja aliekua anamfukuza ng'ombe aliekua anakula mazao yaliyopandwa karibu na nyumba yao. Kitendo cha kumchapa fimbo yule ng'ombe, ile fimbo iliwaka moto pale pale. Na yeye akanza kuota mvi siku ile ile, na akawa mzee siku ile ile, mpaka akazeeka kiasi cha kuwa babu hasa siku ile ile. Na hatimae kuumwa na kufari siku ile ile. Na kisa kingine nitakiweka baadae jioni, ni visa vya kweli ambavyo huwezi vipata kwingine Tanzania ispokua Sumbawanga.
Nonsense.
Habari za kulazwa watu nje sijazisikia huku zaidi ya kusikia huko pwani. Nimezaliwa huku na kuishi zaidi ya miaka 30 hayo yote mnayosema yanatokea Sumbawanga na Katavi, nasi tunayasikia kuwa yanatokea Bagamoyo na Tanga.
Hakuna mtu anayeweza kuleta ushahidi wa dhahiri zaidi ya stori za vijiweni.
 
Kule Nkasi Sumbawanga kata ya Kipili hii kata ipo karibu na ziwa Tanganyika kuna Mzee mmoja aliuza kiwanja kwa Kijana fulani baadae yule Kijana akataka aanze ujenzi kwa kununua tofali. Kijana akamfuata mwenyeji wake yule Mzee kumuuliza kuhusu usafirshaji wa hizo tofali Mzee akamwambia Kijana tukubalie bei halafu wewe nenda zako utakuta Tofali zako zote hapa kiwanjani kwako wakati wanakubaliana hayo ilikuwa in saa12 jioni. Kesho yake asubuhi saa1 Kijana akarudi kwa Mzee kumpa hela ya usafirishaji kwenda anashangaa kukuta Tofali zote zipo pale kiwanjani. Kubwa zaidi lililomshtua ni kusikia wanakijiji wakilalamika kuwa usiku hawakulala na wote wameamka na Vumbi la Mchanga wa tofali kuanzia wanaume mpaka wakina mama kwa maana hiyo Mzee alibebesha kijiji kizima Tofali.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Stori ya kutengenezwa aliyokuja nayo jamaa mmoja Sumbawanga mjini enzi hizo akijinadi ni mganga wa kienyeji ili aogopwe na watu wamuamini.
 
wewe wasema kule ardhi nzuri halafu wenyeji ni wavivu ... sasa jitie kiherehere eti unajua kulima,,, wanakuangalia tuu utastawisha kwa sana siku ya kuvuna ....mabua matupu
Una uhakika??
 
Kule Nkasi Sumbawanga kata ya Kipili hii kata ipo karibu na ziwa Tanganyika kuna Mzee mmoja aliuza kiwanja kwa Kijana fulani baadae yule Kijana akataka aanze ujenzi kwa kununua tofali. Kijana akamfuata mwenyeji wake yule Mzee kumuuliza kuhusu usafirshaji wa hizo tofali Mzee akamwambia Kijana tukubalie bei halafu wewe nenda zako utakuta Tofali zako zote hapa kiwanjani kwako wakati wanakubaliana hayo ilikuwa in saa12 jioni. Kesho yake asubuhi saa1 Kijana akarudi kwa Mzee kumpa hela ya usafirishaji kwenda anashangaa kukuta Tofali zote zipo pale kiwanjani. Kubwa zaidi lililomshtua ni kusikia wanakijiji wakilalamika kuwa usiku hawakulala na wote wameamka na Vumbi la Mchanga wa tofali kuanzia wanaume mpaka wakina mama kwa maana hiyo Mzee alibebesha kijiji kizima Tofali.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app

Huko hakufai kuishi kabisa.
 
Tangu nianze kutembelea hii mikoa katika maeneo mbalimbali kama Inyonga,Majimoto,sumbawanga,mpimbwe na hapa katavi mjini nimekutana na watu wenye magonjwa ya kushangaza sana.Nilikutana na mama mmoja ambaye mwili wake wote ulikuwa umeharibika(Ni dhambi kusema umeoza) huku ukimwaga maji chapachapa.

Siku nyingine ndani ya basi nilishangaa kumuona mzee mmoja aliyekuwa amepanda na dumu la maji la lita tano na kila baada ya muda mfupi alikuwa akijimwagia maji kwa madai kuwa miguu yake inawaka moto.

Pia wakazi wa huko walinishangaza baada ya kuniambia kuwa huko kwao radi inauzwa,nilishngaa kwa sababu najua radi ni umeme tuli.Lakini jamaa waliniambia nikitaka hata kwa elfu kumi ninaipata .

Pia mtu alishawahi kupanda basi na kuwafanya wasafiri wenzake wote kushindwa kula wala kunywa maana alikuwa na kidonda kikubwa ambacho kilikuwa na wadudu na kilifanya hali ya hewa ya basi zima kubadilika na hata aliposhuka hali haikuwa shwari.

Nimetembea sehemu nyingi sijawahi kukutana na maradhi ya aina hii lakini nilipowauliza wakazi wa maeneo haya walihusisha maradhi hayo na imani za kishirikina.

Najua mtaomba picha,picha ninazo lakini sina ujasiri wa kuzianika mtandaoni.
Mkuu umenifurahisha hapo kwenye umeme tuli (static electricity). Kwa hiyo opposite yake ni nini? Umeme unaotembea?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom