dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,024
- 5,452
Kwa milango ya fahamuUmejuaje??100%
Kwa milango ya fahamuUmejuaje??100%
Hapo sasa! Hizo powers ndiyo wazungu na wahindi, wachina NK, wazitumia kuleta maendeleo katika nchi zao! Ehh Maulana Mola wangu nisaidie!na ukiangalia ndio mikoa maskini ya kutupwa.
Ndio huyo na hospital yake mitaa ya mafulala.Anaitwa chombo kutotomya
Labda aliwaotea aliewapiga bila wao kujijuaHao wagonjwa walikuruhusu kuwapiga picha?
Labda aliwaotea aliewapiga bila wao kujijuaHao wagonjwa walikuruhusu kuwapiga picha?
Tunaoishi huku tunaishije??
Mnatetea uchawiMsiwe Mnaamini vitu vya kuambiwa nendeni mkaishi na watu wa huko mtapata ukweli!! Ww unayesema kijiji cha kalundi ni sehemu ambako wachawi wamekimbilia ww ni muongo tena muongo mkubwa na unatakiw kuwaomba msamaha wanakarundi kwa kuwapa sifa isiyokuw yakwao. Mimi natokea maeneo hayo kijiji cha sintali ambacho kipo kusini mwa kalundi km8 hivi. Acheni kulopoka kuhusiana na nkasi yetu tafadhali tuheshimiane!!!
Mnaamini stori za mitaani zisizo na msingi.!Ndio tuwaulize nyinyi sasa mnaishi vipi mkuu?
Kama ni stori za uzushi uwanja ndio huu jimwage hapa watu tujue ukweli maana tunaambiwa huko kunguru wananyakua ng'ombe halafu inadondoka mifupa ya ng'ombe tu.
Swanga si kwa mchezo mchezo.
Chukua mikoba hiyo uwe unatuuzia wana JF wenzio radi
Mtaji wa ccm huo!!Hiyo mikoa sijui kwa nini wanang'ang,ania imani za kishirikina
siasa na uchawi tenaMtaji wa ccm huo!!
Mkuu unaizungumzia Challa ipi?labda ya Moshi.Aisee naona chala upafahamu wewe pale mitaa ilikuwa na umeme tangu 1875 na kingine kabla hamjamjua msouth cc tayari nyumba zetu zina vigae tangu enzi hzo, chala n sehemu iliyojengwa kwa kufata mitaa nyumba kwa nyumba kijiji kizima
Duuh umenikumbusha mbali sna mkuu,niliwahi kwenda kikazi huko 2008 nikakaa mpaka 2010 nilianzia kuishi Kanoge baadae nikahamia MnyakiKule Mishamo na Kanoge kabla hujafika Inyonga ndio balaa.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Duh wachawi bana!Huko kunguru hanyakui vifaranga vya kuku ananyakua Ng'ombe tu
Sikatai ushirikina upo ila sio kuwa na imani ya kuhusianisha kila kitu na ushirikina. Yaani kwa sababu unaskiaga huko kuna ushirikina basi unahusisha kila kitu na imani za kishirikina? Kama ni hivyo kanda ya ziwa hutoweza kuishiKwa taarifa yako hata dada yangu mpendwa alifariki mwaka jana baada ya kukutana na maradhi ya kupandikiziwa na mtu wake wa karibu kwa lengo la kuwa na mali.Dada yangu alikuwa akiishi mpanda mjini.Tembea uone.Kama unaamini uwepo wa Mungu bila kukubali kuwa ushirikina upo basi imani yako ni haba kwa sababu hata Manabii walipigana vita dhidi ya nguvu za giza.
Duh wachawi bana!Huko kunguru hanyakui vifaranga vya kuku ananyakua Ng'ombe tu