ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,838
Kwa wale ambao mlikuwa hamjui basi hiyo ndio taarifa kamili.
Pamoja na sifa za watu wa Kagera na Serikali kuweka Nguvu kubwa Dodoma ila Bado haijasaidia kuitoa Mikoa hiyo kuwa kwenye orodha ya Mikoa yenye watu maskini wengi ambao Wana kipato duni kabisa yaani mafukara.
Kwa mujibu wa Takwimu kutoka BoT, Jumla ya Mikoa 14 Ina kipato ambacho Kiko chini ya wastani wa kitaifa wa Milioni 2.8(Dola 2) Kwa mwaka sawa na Dola 3 Kwa siku.
Lakini Mikoa 10 yenye Hali mbaya zaidi (poorest Regions) ni hii ifuatavyo:
1. Simiyu
2. Kagera
3. Singida
4. Pwani
5. Dodoma
6. Tabora
7. Kigoma
8. Katavi
9. Songwe
10. Rukwa
My Take:
Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ya Katavi, Songwe na Rukwa Iko kwenye list kwa bahati mbaya tuu Kwa sababu ni Mikoa mipya ila mwaka ujao itakuwa imejiondoa kwenye List of shame.
View: https://twitter.com/NuktaTanzania/status/1712367469963145246?t=3-tfd4WrURVl12v3zQHtyQ&s=19
Pamoja na sifa za watu wa Kagera na Serikali kuweka Nguvu kubwa Dodoma ila Bado haijasaidia kuitoa Mikoa hiyo kuwa kwenye orodha ya Mikoa yenye watu maskini wengi ambao Wana kipato duni kabisa yaani mafukara.
Kwa mujibu wa Takwimu kutoka BoT, Jumla ya Mikoa 14 Ina kipato ambacho Kiko chini ya wastani wa kitaifa wa Milioni 2.8(Dola 2) Kwa mwaka sawa na Dola 3 Kwa siku.
Lakini Mikoa 10 yenye Hali mbaya zaidi (poorest Regions) ni hii ifuatavyo:
1. Simiyu
2. Kagera
3. Singida
4. Pwani
5. Dodoma
6. Tabora
7. Kigoma
8. Katavi
9. Songwe
10. Rukwa
My Take:
Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ya Katavi, Songwe na Rukwa Iko kwenye list kwa bahati mbaya tuu Kwa sababu ni Mikoa mipya ila mwaka ujao itakuwa imejiondoa kwenye List of shame.
View: https://twitter.com/NuktaTanzania/status/1712367469963145246?t=3-tfd4WrURVl12v3zQHtyQ&s=19