Hiyo sending ndo inamaana gan
 

Attachments

  • Screenshot_2024-05-11-11-17-31-140_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2024-05-11-11-17-31-140_com.android.chrome.jpg
    206.8 KB · Views: 4
Wadau wa 1Xbet tumshike mkono kijana,,, ukizingatia leo tukiacha tamaa direct win ziko wazi

💰💰EDO 1XBET AGENT

DEPOSIT & WITHDRAW BURE HAKUNA MAKATO

👉TIGOLIPA: 15736806
JINA EDO SHOP O1

👉LIPA M-PESA:57603765
EDO SHOP O1

BANK PAYMENT

👉 🏧 NMB
👉 🏧 CRDB

WhatsApp...*
wa.me/+255785372111

TUNAFNYA KAZI KASI YA (5G) KARIBU TUKUHUDUMIE 24/7
 
We jamaa yaonesha ujitambui, na usipokuwa makini usije ukatapeliwa . Mtu mzima usikiliza na kuuliza kwanini ili apewe sababu. Sasa nakwambia Chukua iyo stake zidisha na odds afu toa na iyo TAX uone kama inakuja iyo hela taslimu.
Calculations zipo sawa mkuu! Stake za laki tano mpka 2 m kawaida kwa baadhi ya wadau, anatupia single match.
 
0FE48DE hayaaa
Nimekaa kimya kwa mdaa sasa lakini leo nasema ukweli.
mtoto wa mjomba we jamaa hii mikeka yako naipiga sana, kwasababu nikipata hint apa naenda naboresha na wa kwangu natoka na odds zangu chache natulia.Pia ni mizuri kwa mtu ambaye anazijua timu vizuri.
NB;Hapa wengi mikeka wanayoiweka ni mizuri lakini sio confidential sana,pia ukiwa na uwezo wa kuchagua timu zako vizuri basi utapata tu maokoto.
Big up kiongozi 💪usichokee kuleta hint🙌
 
Back
Top Bottom