Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,952
- 8,965
Itakuwa chini mnooWait for boom🔥🔥🔥
Maana JKT na Young Africans wenye odds kubwa Mechi imeahirishwa,means inatolewa
But congratulations for the rest of matches
Itakuwa chini mnooWait for boom🔥🔥🔥
Jkt na young africans walikua na odd 1.3Itakuwa chini mnoo
Maana JKT na Young Africans wenye odds kubwa Mechi imeahirishwa,means inatolewa
But congratulations for the rest of matches
UJINGA wa kanji bwana hata ukimwekea nyimbo za kuabudu hajali😅😅Siwezi shindana na yee...
Siwezi pigana na yee!
Nanyosha mikono juu.... Mi Napigana na Code!
Napigana na Code! ...ooh napigana na Code!
NaShindana na Code!
Hakuna Chance inayopatikana kwenye Ndoto!
Usishindane na Ndoto!
Punguza makasiriko...pigana na code!...shindana na code!
8BD198
Ifike hatua choka mzee chokaaa.. utachanganyikiwa.Siwezi shindana na yee...
Siwezi pigana na yee!
Nanyosha mikono juu.... Mi Napigana na Code!
Napigana na Code! ...ooh napigana na Code!
NaShindana na Code!
Hakuna Chance inayopatikana kwenye Ndoto!
Usishindane na Ndoto!
Punguza makasiriko...pigana na code!...shindana na code!
8BD198
Wewe kwenye kubeti umesha kulaga kiasi gani kikubwa zaidiKubet mkeka wa game kumi handicap kwa jero ili ule laki 5 ni ujinga na utaliwa daily. Bet ushindi wa kawaida kwa timu tatu za uhakika, weka hela ya ukweli. Utakula siku zote...
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe kwenye kubeti umesha kulaga kiasi gani kikubwa zaidi