Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 10,360
- 16,163
Huku ndio kubet sasa
Ni hatariiii na bado mwingine PyunikSc paderborn 07
Hawa chawa wangu woote wametoboa mzee!! On 90's minutes! HATAREE NA NUSU!Ni hatariiii na bado mwingine Pyunik
Chup chup Wacha tuendlee na haw wengineHawa chawa wangu woote wametoboa mzee!! On 90's minutes! HATAREE NA NUSU!
Unampiga dudu kweli kweli😄View attachment 2686906
Asante live game
Binadamu ameumbwa kufikiri yaani kutumia ubongo wake ipasavyo.Unampiga dudu kweli kweli😄
Naam kiongozi ni muda sasa wa kula sahani moja na mashehe."I want to be a different animal when I come back.It's gonna be frightening"-Ivan Toney.Binadamu ameumbwa kufikiri yaani kutumia ubongo wake ipasavyo.
hivyo basi ni muhimu sote mimi na wewe tuumize kichwa namna ya kupata pesa ipasavyo. 😀😀😀
Team ya kimaku sana hiyo,Sc paderborn 07
Umesema na kufikiri vyema lakini jaribu kupunguza shauku au kiu yako katika kamari, hii ni mchezo wa kamari huwa hauna dhamana, yaani ni muda wowote unakula mkeka au unachana mkeka. Be careful as a bettor.Naam kiongozi ni muda sasa wa kula sahani moja na mashehe."I want to be a different animal when I come back.It's gonna be frightening"-Ivan Toney.
Kwa sasa nimestaafu kwa heshima ofsa.Mpaka wakati mwingine .Umesema na kufikiri vyema lakini jaribu kupunguza shauku au kiu yako katika kamari, hii ni mchezo wa kamari huwa hauna dhamana, yaani ni muda wowote unakula mkeka au unachana mkeka. Be careful as a bettor.
Tuanze kumsifia tu jamaa na livebet.. anahitaji kusifiwa au hamuoni jaman. Msifienu na tumpe like zake ili alale vizuri, ajue tunaona post zakeView attachment 2687052
Live bet asante sana