Kinumbo

HILO NDILO PEPO LA TIMU MOJA. SALZBURG KUNIKOSESHA 2.7M Kiukweli naumia mpaka dakika hii

Screenshot_20230410-220543_Betika.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230410-220551_Betika.jpg
    Screenshot_20230410-220551_Betika.jpg
    115.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20230410-220830_Betika.jpg
    Screenshot_20230410-220830_Betika.jpg
    150.6 KB · Views: 5
Mkeka w kwanza

Barca
Simba

Wa pili

Simba
Young boys
Fenebance
Al ahly
Barca

Naoana Lewa/Rafinha/ Ansu kama hawako serious iv wanajua nimebet hawa mbwa
 
Unadhani anaweza kudanganya Kwa faida ya nani ? Ili apate nini? Mimi naona jamaa kweli katusua,maana kusema uwongo kwamba umekula wakati hujala haikuongezei chochote kwenye platform kama hizi,ukizingatia kwamba hatufahamiani hapa.
Sijui anatafuta nini adanganye?!?!


Sent from my RMX3491 using JamiiForums mobile app
 
Wewe yako imeniaminisha kuwa yule aliyepost kashinda Milioni 27 kadanganya, sababu wa kwako pesa inaonesha Tsh na ina spaces.

Ile milioni 27 haina spaces wala haijulikani ya nchi gani
Unadhani anaweza kudanganya Kwa faida ya nani ? Ili apate nini? Mimi naona jamaa kweli katusua,maana kusema uwongo kwamba umekula wakati hujala haikuongezei chochote kwenye platform kama hizi,ukizingatia kwamba hatufahamiani hapa.
Sijui anatafuta nini adanganye?!?!

Sent from my RMX3491 using JamiiForums mobile app
 
Mkeka w kwanza

Barca
Simba

Wa pili

Simba
Young boys
Fenebance
Al ahly
Barca

Naoana Lewa/Rafinha/ Ansu kama hawako serious iv wanajua nimebet hawa mbwa
Barca leo wanafanya ujinga ila ref amezingua kukataa lile goli
 
Back
Top Bottom