kanji weekend hii afe kipa afe beki mi naweka mitego kila mahali
Screenshot_20230330-205115_SportyBet.jpg
Screenshot_20230330-203130_SportyBet.jpg
 
Code zinasomajwe
Sorry nilirusha code nikasepa, unai=copy unakwenda ku=paste kwenye a/c yako ya betpawa (kabla ya kupaste unafanya kama unabet timu moja alafu una clear betslip itatokea sehemu ya kuweka "booking code" unafanya ku-paste kisha unabonyeza "load" zitakuja timu nilizochagua then una-stake au una edit etc)

Njia nyingine (shortcut), una copy code kisha kwenye a/c yako ya BETPAWA juu kabisa mkono wa kulia pembeni ya neno MENU yaani kwenye kale kasifuri unabonyeza itakuja sehemu ya kuweka code then unabonyeza "LOAD"
 
Habari wakuu,
Betting haina uhakika wa ushindi kwa 100%

Ila kwa mtu mwenyeji kwenye beting uhakika wa kupata odds 1.05 ya kila siku na ikatoa nadhani upo.

Nitapata wapi 1.05 odds kila siku ya uhakika?

Siyo 1.50, hapana ni 1.05 peke yake daily, nitapata wapi?

Hapa kuna wenyeji wa hizi mambo, na uwezekano wa kupata odd ya 1.05 daily uhakika upo.

Nani anaweza kuwa ananipa hiyo odds kila siku?
Maana kama inawezekana mimi ningekuwa namlipa kila siku buku ya vocha au baada ya mwezi 30,000 Tshs.
Nataka niweke stake ya "UHAI" kwenye hiyo odds kila siku.
Mechi moja tu wala sitaki mechi nyingi.

Hilo litawezekana au nitapoteza Uhai wangu.

Naombeni ushauri wakamaria.
Cheza live mkuu. Mfano unacheza kona first half under 5.5 wakati mechi imeshafika dk 16 hapo utapata odd ya uhakika. 1.3 odd ya uhakika
 
huyu atakua amewin kweli maana hadi bet pawa wenyewe wameweka taarifa zake kutoka yule jamaa wa Geita aliye cash out M6 kwa stake ya buku na kumuweka huyu wa 110M kwa stake ya 550View attachment 2571472
Huyu ali-win kabla ya yule wa Geita na waliweka kwenye page zao za social media ila kwenye app yao walianza kumweka yule wa Geita
 
Shukran kaka

Sorry nilirusha code nikasepa, unai=copy unakwenda ku=paste kwenye a/c yako ya betpawa (kabla ya kupaste unafanya kama unabet timu moja alafu una clear betslip itatokea sehemu ya kuweka "booking code" unafanya ku-paste kisha unabonyeza "load" zitakuja timu nilizochagua then una-stake au una edit etc)

Njia nyingine (shortcut), una copy code kisha kwenye a/c yako ya BETPAWA juu kabisa mkono wa kulia pembeni ya neno MENU yaani kwenye kale kasifuri unabonyeza itakuja sehemu ya kuweka code then unabonyeza "LOAD"
 
Back
Top Bottom