Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,198
- 8,228
Treni za Sportybet Nigeria
78055633
4E1A57D5
B7BE0B67
2D0F0837
FFEFF4AC ….
A71FADE7 .,.
4E6CEBDB
78055633
4E1A57D5
B7BE0B67
2D0F0837
FFEFF4AC ….
A71FADE7 .,.
4E6CEBDB
mkuu mimi 888starz wamenihack wakaniibia pesa waliyonitumia kaka muda huo huo,nmeumia san 260k ni pesa ya kawaida lkn kampuni imekosa uaminifuMkuu ukifanikisha usisite kushare njia uliyotumia maana hizi kampuni ni zina mfanano mkubwa, mmiliki atakuwa mmoja.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
"Sometimes tusiangalie odds tuangalie kiwango na perfomance ya timu!!!" ...Nimeichukua hii Mkuu.Qarabag anakiwasha sana Kwenye ligi yao hata zile mechi alizopigwa na kale katimu walikokutana mara tatu mfulizo na mechi ya kwanza kalipigwa 7 na mechi ya pili mechi haikuwa na presha sana maana ilikuwa ngumu kurudisha hizo saba na qarabag alifungwa sababu hakuwa na nia nayo sana hyo mechi! Braga ni mzuri ila naye kama anasua sua sana hizi mechi kama saba zilizopita hivyo leo amekutana na Qarabag kukandwa ilikuwa lazima na ndo hivyo amekandwa nne! Sometimes tusiangalie odd tuangalie kiwango na performance ya timu! Siku hizi timu yenye performance nzuri ndo inashinda
massive win cm ilipata shida ndo nmetoka kwa fundi imewaka naingia nakuta boooooooolm, 15 odds zilishinda hongera ka ulicheza
Edited56A443F sportbet new option lets try this.
Samahan hivi9B34D29 Sportbety.
Gori kuanzia moja mpaka tatu zikizidi tatu umechana mzeeSamahan hivi
unaposema 1-3 mfano 2nd Half mechi ya Psv Vs Dortmund unamaanisha nini?
Naomba nijifunze kidogo.
huu sio mtego kweli ? mbona kama inskua rahisi sana56A443F sportbet new option lets try this.
Sio wajinga kuweka hiyo option huwa inachana pia kwa yule mwenye tamaa ya maodds mengihuu sio mtego kweli ? mbona kama inskua rahisi sana
hIi ndio betting sasa. Odds chache stake kubwa. KudosLearn or hate! More than 400k✅😂😂View attachment 2905499
Shida mapichaaaa7.7 Odds, jaribu piaView attachment 2905842