Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,145
- 16,491
Sidhani kama kidadisi kitu ni dhambi....Nawe mkongwe wataka ingia king ya wazee ya jisajiri hapa!!!
Sidhani kama kidadisi kitu ni dhambi....Nawe mkongwe wataka ingia king ya wazee ya jisajiri hapa!!!
Nahitaji odd 50 za uhakika
itume tena code mkuu
Weka hizi uone zinafika odds ngapi, ndiyo matokeo nayo yaamini kwa ipande wangu. Ila hazitafika odds 50.ndicho unachoweza tu humu
MAtokeo yaoMbona umeruka ligi na timu kubwa ulaya ukahamia ligi ndogo na timu ndogo ulaya?!!!
Game Bado xna iyo acha pressureTuliompatia South Korea DIRECT WIN Tujiandae KISAIKOLOJIA
Wewe jamaa nahisi ni kizazi cha 1970 kurudi nyuma. Una hekima sana. Ajaribu kutukana kizazi cha 80 na kuendelea aone moto.Wewe ndugu nishakuzoea maneno yako makali, leo umeniamkia tena. Sijui ni hasira za mikeka ya jana kuchana ama laa.
Tuendelee shirikiana pambana na adui yetu, tuna adui mmoja tu. Tusipoteze focus.
Na wewe ndio maana kila siku unatukanwa. Overthinker wa mikeka?? Kweli naamini sasa anachosema... unamshobokea to the maximum acha akutukane tu.Mzoee huyu mmoja wa overthinkers kwenye huu uzi, all in all insights zake kwenye mechi zinasaidia wengi humu. Ukichukua maoni yake ukachanganya na maoni ya wengine humu unakuwa well informed kabla ya kufanya maamuzi.
Hata kama....hapaswi kutusi watu bwana, lkn pole Sana mkuuMzoee huyu mmoja wa overthinkers kwenye huu uzi, all in all insights zake kwenye mechi zinasaidia wengi humu. Ukichukua maoni yake ukachanganya na maoni ya wengine humu unakuwa well informed kabla ya kufanya maamuzi.
Wewe jamaa nahisi ni kizazi cha 1970 kurudi nyuma. Una hekima sana. Ajaribu kutukana kizazi cha 80 na kuendelea aone moto.
Mwaka wa tisa sasa toka 2016 nafuatilia huu uzi, livebets na matokeo ya mechi hususani mechi za wikendi za ligi kuu kubwa ulaya. Credits nazompa jitu bandia naamini anastahili (unless otherwise specified).Na wewe ndio maana kila siku unatukanwa. Overthinker wa mikeka?? Kweli naamini sasa anachosema... unamshobokea to the maximum acha akutukane tu.
Hatoboi, sana sana ataishia kutoa sareTuliompatia South Korea DIRECT WIN Tujiandae KISAIKOLOJIA
Usife moyo, yaweza toa.Southampton under 4.5 mmmmmh. Hapa kanji ananichekaaaa
Ulimpa option gani?South korea anatupeleka motoni
WinUlimpa option gani?