Mike Mushi, mmoja wa wenye hisa Jamii Media ahojiwa na Polisi

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
e9888471ae9b8fbd60bbc3aafc13706d.jpg


Wakuu,

Mmoja wa wenye hisa katika Jamii Media inayoendesha mitandao ya JamiiForums na Fikra Pevu, ndg. Mike Mushi amehojiwa na Jeshi la Polisi kituo cha kati jijini Dar.

Inadaiwa huenda akaunganishwa na kesi mojawapo inayomkabili Maxence Melo‬ (hasa ambayo itatajwa Februari 16, 2017, Kosa la Kutumia mtandao bila kusajili domain ya DOT-TZ).

Mike ameruhusiwa hivi punde baada ya kupewa dhamana.
=====

Tazama habari hii na maoni yake yakisomwa ktk Jamii Leo

 
Hizi drama zimetuchosha sasa. Mbona hakuna juhudi za Escrow, Epa au Lugumi bali juhudi ziko kwenye uchochezi uchwara na kesi za mitandao tuu?
Hata killaza namna gani anatambua wamechoka
 
Mtashindana lakini mtashindwa....

Vita ya JamiiForums ni sawa na kupigana vita na watanzania......

Police kama wanafanya hivyo maana yake wanahujumu watanzania.......

Huwezi shinda vita yeyote unayopigana na umma.........

Ni bora hata wafanyakazi na office ziamishiwe ubalozi Wa marekani pale lakini JamiiForums iendelee kuwepo.......

Uhuru wa kutoa maoni Lazima uheshimiwe...
 
Hizi drama zimetuchosha sasa. Mbona hakuna juhudi za Escrow, Epa au Lugumi bali juhudi ziko kwenye uchochezi uchwara na kesi za mitandao tuu?
Hata killaza namna gani anatambua wamechoka
Badala ya ku deal na njaa ili watu wetu wasife, tuko busy kutaka kujua server za JF zimekuwa hosted wapi. Hii nchi yya viwanda ina mushkeli kiaina.
 
e9888471ae9b8fbd60bbc3aafc13706d.jpg


Wakuu,

Mmoja wa wenye hisa katika Jamii Media, ndg. Mike Mushi amehojiwa na Jeshi la Polisi kituo cha kati jijini Dar.

Inadaiwa huenda akaunganishwa na kesi mojawapo inayomkabili Maxence Melo‬ (hasa ambayo itatajwa Februari 16, 2017, Kosa la Kutumia mtandao bila kusajili domain ya DOT-TZ).

Mike ameruhusiwa hivi punde baada ya kupewa dhamana.
wameanza figisu tena
 
Hizi drama zimetuchosha sasa. Mbona hakuna juhudi za Escrow, Epa au Lugumi bali juhudi ziko kwenye uchochezi uchwara na kesi za mitandao tuu?
Hata killaza namna gani anatambua wamechoka
Wamefail sasa ni kutafuta vitu vya ujinga ujinga
 
Back
Top Bottom