ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,461
ndo tujiandae kuhojiwa maana hawa jamaa wanashangaza sana wanashindwa kufanya mambo ya msingi ya matatizo ya balaa la njaa ninawashangaa sanaWakiwamaliza the owners, sasa watatugeukia sisi members tunaochangia kwa mada ambazo sio furahishi kwa watawala.
Tanzania tulichagua viongozi ili watuongoze, baada ya kuwapa kura za kutosha na kuwapa mamlaka, sasa kuongoza ni basi bali kutawala! .
Nchi ikiishakosa mifumo, dira na mwelekeo, kila mtu anajikuta hajiamini, hivyo kuzua zua vikesi kwa lengo la kumfurahisha mfalume, huku wakijiamini ndio wanamsaidia, lakini kiukweli hawamsaidii na sana sana wanamharibia!.
Yana mwisho haya!.
Paskali.